Hivi karibuni tumeshuhudia The elephants wakija kufanya friend matches zao hapa TZ.
Rais wetu amevutiwa sana na hawa players kama drogba na kuacha majukumu makubwa yanayomkabili na kwenda kuandaa chakula na hawa wachezaji. Nauliza ni kweli sababu za kikwete alizozitoa pale kwenye tafrija zinatosha kumpa muda wa kukutana na wachezaji hawa na kuacha ofisi? au ndo mawaziri wa michezo na wasaidizi wake hawakuwa na wazo hilo!!!!
Mie naona sasa JK aweze kuchagua vitu gani vya kuvipa kipaumbele. Siamini kama alivyosema kuwa drogba aliongea na sky news ndo kunaitangaza TZ, inamaana tumeshindwa kuitangaza TZ hadi tusubiri drogba aje? wadau niambieni kama ninafikiri vibaya au la, mie ninaona aibu kwa rais wetu kuacha ofisi na kwenda kumfagilia drogba.
Rais wetu amevutiwa sana na hawa players kama drogba na kuacha majukumu makubwa yanayomkabili na kwenda kuandaa chakula na hawa wachezaji. Nauliza ni kweli sababu za kikwete alizozitoa pale kwenye tafrija zinatosha kumpa muda wa kukutana na wachezaji hawa na kuacha ofisi? au ndo mawaziri wa michezo na wasaidizi wake hawakuwa na wazo hilo!!!!
Mie naona sasa JK aweze kuchagua vitu gani vya kuvipa kipaumbele. Siamini kama alivyosema kuwa drogba aliongea na sky news ndo kunaitangaza TZ, inamaana tumeshindwa kuitangaza TZ hadi tusubiri drogba aje? wadau niambieni kama ninafikiri vibaya au la, mie ninaona aibu kwa rais wetu kuacha ofisi na kwenda kumfagilia drogba.