mtima nyongo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,947
- 2,046
tatizo la kisarawe ni wazee wa kiswahili waishio maeneo hayo, kuna mikutano ya ndani huwa inafanyika na jafo uwarubuni kwa vitu vidogo nao ulainika na kujisahau.tatizo kubwa ni maji barabara nna mwaka na nusu hapa makurunge lakini cha moto nakiona