kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,163
- 10,602
wilaya zote za mkoa wa pwani zipo hivyo
Inawezekana kweli ingelikuwa hivyo watu wengi wasingekuwa wanahamia uko.Naamini kuwa hii ni wilaya/jimbo ambalo ni maskini kuliyo yote Tanzania
Hivi wana kisarawe mnashindwa kumput to task huyo mbunge wenu (kama yupo)?
Mambo ya musing kama Maji, Umeme, Barabara na Afya ni non existent kwenye hili jimbo
Kama mmeshindwa kwa nini mnashindwa kumshitakia kwa Rais au kwenye vyombo vya habari?
Kama mmeshindwa kabisa kwa nini msimpe jimbo lenu Mchagga au watu kutoka Mbeya au Iringa ili wawaletee maendeleo?
Sielewi huyu mbunge wa Kisarawe anashindwa vipi na wabunge wa Kibaha, Bagamoyo na Mkuranga ambao sio mawaziri
au tumeleaaaniwa wana Kisarawe?
Umefika ukitokea wapi?Kweli kabisa mkuu! Nimefika mwaka huu nilishangaa mpaka nikauliza wenzangu kulikoni hapa mbona pako kama kijiji! Eti wilaya imeanzishwa kabla ya uhuru!!!
Hahaaa, mbunge anayeongoza binadamu na wanyama!!
Eeehhh,alafu ikawaje??kihistoria Kisarawe na Nairobi zilianzishwa kipindi kimoja na wakoloni
ndio hivyo kisarawe inafanana na kitongoji cha kiberaEeehhh,alafu ikawaje??
Huyu hamna kitu kabisa,wana Kisarawe wamechemka hana tofaut na Mkullo Kilosa
Mbunge wa Kisarawe (CCM) Mhe.Seleman Jafo
Kumbe ndo huyuu??? Maneno meeeeengi bungeni kumbe hamna kitu
Mbunge wa Kisarawe (CCM) Mhe.Seleman Jafo
Ngoja dawa iwaingie vizuri.Ukifika mwanamsekwa si ndo utalia kabisa
Utafikir upo katika vijiji vya sudan kusin
Mpaka dispensary haina maji
Watu wanaomba mvua inyeshe kila siku