charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 5,975
mbona hafananii na maendeleo ya jimbo lake! alafu huyu si waziri au ndo anashughulikia wizara hadi kasahau Jimbo lake.
Mbunge wa Kisarawe (CCM) Mhe.Seleman Jafo
mbona hafananii na maendeleo ya jimbo lake! alafu huyu si waziri au ndo anashughulikia wizara hadi kasahau Jimbo lake.
Mbunge wa Kisarawe (CCM) Mhe.Seleman Jafo
We jamaa sio wa kawaida nimecheka sanandio hivyo kisarawe inafanana na kitongoji cha kibera
Naona mh mbunge umekuja moja kwa moja hongeraHosptal ya kisarawe jaffo kalet standing jenereta uhakika wa umeme n 24/7, kajenga motuary kwenye uongoz wake na hosptal zote kazipa ambulance hzo ulizo zitaja na moja haina zaid ya miez....na hosptal ya kisarawe kuna majengo mapya ya wodi
Istoshe kwenye elimu jaffo foundation inasomesha watoto wengi sana data ntaleta hapa
Barabara kisarawe yote mjn kunawekwa lami na stand imehamishwa na inajengwa mpya stand chin ya jaffo
Na hakuna mbunge anaye tembelea jimbo lake kama sulemain jaffo nchi hii maana mara kwa mara anatwmbelea jimbon kwake inabd wabunge wengine waige kwake maana anaonesha maana halisi ya uwakilishi
Maji anajtahd sana ila tusisahau kisarawe ipo kwenye high plateu kama wilaya za newala kwahyo ni wilaya ambazo maji yanasumbua wataalamu wa jolojia na hydrology wanaelewa hili ila suleiman jaffo anapambana sana akijua umuhmu wa maji na kisarawe inakimbia mwendo mzur chini ya jaffo
Hongera suleiman jaffo kisarawe niya jaffo na jaffo niwa kisarawe
Hahahahaaaa.mngempa KINGWEDU sasa hivi jimbo lingekuwa hoyahoya kama MIKUMI mzee wa mituringa anavyolipeleka vema gurudumu la maendeleo