NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Na unajisikiaje kutupa taka hovyo
Jana nimeshuhudia MJbaba mmoja yuko kwenye gari moja bomba kafungua dirisha karusha uchafu nje tena katikati ya barabara ya kinondoni
Hivi hatuwezi kubadilika?
Naomba serikali ikajifunze Moshi jamani hii ni kero kubwa.
Inaniuma sana nikiona mtu anatupa hovyo uchafu tubadilike
Jana nimeshuhudia MJbaba mmoja yuko kwenye gari moja bomba kafungua dirisha karusha uchafu nje tena katikati ya barabara ya kinondoni
Hivi hatuwezi kubadilika?
Naomba serikali ikajifunze Moshi jamani hii ni kero kubwa.
Inaniuma sana nikiona mtu anatupa hovyo uchafu tubadilike