Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,255
- 113,668
- Thread starter
- #21
Niulize mara ngapi sasa? Au hujui kusoma na kukielewa ulichokisoma?"Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?
Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi."
Kweli kwa akili zako. Ila ziko chini sana. Ungeuliza ufafanuliwe.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app