TWIZAMALLYA
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 397
- 81
Chaguzi mbalimbali zinaendelea hapa nchini,kuna uchaguzi wa ubunge Arumeru na uchaguzi wa udiwani huko Mwanza.Wapiganaji mahiri wa Chadema wanazunguka maeneo hayo lakini mtu huyu wala hasikiki popote kusaidia kampeni za chaguzi hizi.Hivi kuna tatizo gani hapa naomba mwenye data azimwage hapa.