Sio kila mtu bahili dadangu! wengine hawana ila wanapenda na wao wawe na ukumbusho mzuri wa ndoa yao hasa ukizingatia kwa sisi wakristo ndoa ni mara moja tu katika maisha yako.
Ni ngumu kueleza! lakini najua hata kama ingekuwa wewe ungependa ufanye kitu kizuri kidogo kwa ajili ya ukumbusho, hasa kwa wakristo ndoa ni mara moja tu maishani. Nafikiri ni rahisi kushauri hivyo, lakini ni ngumu kufanya hivyo kama ni wewe mwenyewe binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.