Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,420
- 2,880
Leo nimesikitika Sana watangazaji kutokuwa na weledi na kazi yao
Asubuhi ya leo nipo najiandaa kutoka radio ilikuwa inaongea (east Africa radio) kipindi wanakiita Mama Mia ,Rita chiwalo ndo mtangazaji alikuwa na mwezie Wakawa wanajadili maswala ya CAG Mara katika malumbano mmoja akasema mbona MWENDAZAKE magufuli aliwahi weka wazi mshahara wake?
Akatamka kabisa neno MWENDAZAKE mida ya sa 09:32
Sasa nauliza Hilo jina ni official Hadi mtangazaji amuite marehemu mwendazake?
Asubuhi ya leo nipo najiandaa kutoka radio ilikuwa inaongea (east Africa radio) kipindi wanakiita Mama Mia ,Rita chiwalo ndo mtangazaji alikuwa na mwezie Wakawa wanajadili maswala ya CAG Mara katika malumbano mmoja akasema mbona MWENDAZAKE magufuli aliwahi weka wazi mshahara wake?
Akatamka kabisa neno MWENDAZAKE mida ya sa 09:32
Sasa nauliza Hilo jina ni official Hadi mtangazaji amuite marehemu mwendazake?