Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,316
- 7,734
-labda sound zako ziko out ov date bana uez jua...
-vipi kuna kifaa kinaitwa mswaki sijajua kama una ushirikiano nacho mzuiri...
-umesomea shule za boyz miaka 6??
Hujasaidia chochote mkuu
-labda sound zako ziko out ov date bana uez jua...
-vipi kuna kifaa kinaitwa mswaki sijajua kama una ushirikiano nacho mzuiri...
-umesomea shule za boyz miaka 6??
Piga sana fix maana mademu wa kibongo hawataki ukweli! ila vilevile kuwa makini maana akigundua kamba zako kama hujajipanga itakuwa msala.....
Mi huwa sipendi kudanganya bana, hata mtu hakinidanganya huwa nakasilika sana. Naamini siku moja nitampata atakae vutiwa na sound zangu.
Aaah, kumbe hawa wasichana wanapenda sana uhongo, poa let me try..
jipange vizuri....ukidanganya vibaya utajuta....kuna wenzio m a f a *a wanadanganya kiduanzi...wakipigwa kibuti wanaanza kulialia....
Mi huwa sipendi kudanganya bana, hata mtu hakinidanganya huwa nakasilika sana. Naamini siku moja nitampata atakae vutiwa na sound zangu.
Nimekusoma, ila hata hivyo mi huwa sipendi kudanganya.. japo nahisi mabinti ndo wanapendaga kudanganywa.
....Wanapenda sana kudanganywa lkn ukiwaambia ukweli watakukimbia. waambie una CPA na ACCA, MBA, unakaa Masaki, azima ndinga ya mshkaji hata km ni VITZ, ulambe swaafi km pedeshee! pafyum kwa saaaana, weka ma ATM km saba kwenye wallet hata km mbili tu ndo utakuwa unazitumia! usisahau kuweka fuba km laki mbili kwenye wallet hiyo ni ya show off tu jifanye unajua viwanja vyote hapa mjini, zungumzia sana Dubai na China jikakamua hata one day mpeleke Kempinski au Sea Cliff hapo utawala km huna akili nzuri lkn ukijifanya wewe ni mnovice! kila kitu ukweli hanasi mtuuu!
....Wanapenda sana kudanganywa lkn ukiwaambia ukweli watakukimbia. waambie una CPA na ACCA, MBA, unakaa Masaki, azima ndinga ya mshkaji hata km ni VITZ, ulambe swaafi km pedeshee! pafyum kwa saaaana, weka ma ATM km saba kwenye wallet hata km mbili tu ndo utakuwa unazitumia! usisahau kuweka fuba km laki mbili kwenye wallet hiyo ni ya show off tu jifanye unajua viwanja vyote hapa mjini, zungumzia sana Dubai na China jikakamua hata one day mpeleke Kempinski au Sea Cliff hapo utawala km huna akili nzuri lkn ukijifanya wewe ni mnovice! kila kitu ukweli hanasi mtuuu!
....Wanapenda sana kudanganywa lkn ukiwaambia ukweli watakukimbia. waambie una CPA na ACCA, MBA, unakaa Masaki, azima ndinga ya mshkaji hata km ni VITZ, ulambe swaafi km pedeshee! pafyum kwa saaaana, weka ma ATM km saba kwenye wallet hata km mbili tu ndo utakuwa unazitumia! usisahau kuweka fuba km laki mbili kwenye wallet hiyo ni ya show off tu jifanye unajua viwanja vyote hapa mjini, zungumzia sana Dubai na China jikakamua hata one day mpeleke Kempinski au Sea Cliff hapo utawala km huna akili nzuri lkn ukijifanya wewe ni mnovice! kila kitu ukweli hanasi mtuuu!