Hivi ni kweli hawa mawaziri wanakuwa wameagizwa na Rais au wanatudanganya!

Mpap Ndabhit

JF-Expert Member
Jan 15, 2014
237
239
Kama siyo wote baadhi ya mawaziri na hata wakuu wa mikoa na WA wilaya utawasikia wanapotekeleza majukumu Yao hujinasibu kwamba mheshimiwa Rais amewapa agizo la kutekeleza jambo Fulani.

Waziri wa ardhi mheshimiwa Silaa alipokuwa mkoani Katavi katika ziara ya katibu mkuu wa CCM Chongolo alisema Rais amemtuma kuumaliza mgogoro wa ardhi kati ya wananchi 400 na chuo Cha kilimo Katavi. Na kwamba hati ya ardhi ya chuo hicho irekebishwe Ili wananchi waendeleze ardhi Yao.

Kauli kama hiyo iliwahi kutolewa na waziri wa ardhi mheshimiwa William Lukuvi kwamba Rais Samia amemtuma kuumaliza mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa Sae mpya (maarufu mtaa wa LUKUVI) na chuo Cha kilimo Cha Uyole. Wananchi Kwa Kasi baada ya kauli wakaanza kujenga Ili kuendeleza eneo lao.

Ajabu akaja mkuu wa wilaya Mbeya na kauli nyingine kwamba Rais amemtuma kuwaondoa wananchi eneo Hilo Kwa matumizi ya serikali na kwamba watalipwa fidia.

Waziri wa kilimo Bashe naye katika Nane Nane anawachongea wananchi Kwa Rais kwamba wananchi wamevamia eneo la chuo Cha kilimo. Ashukuriwe Mungu Samia ana akili sana! Akaagiza viongozi washughulikie mgogoro huo bila kuleta taharuki Kwa Wananchi.

Ndiyo najiuliza hivi hawa mawaziri kweli wanatumwa na Rais au wanatudanganya Ili tuwaamini jambo lisilo la kweli?
 
Kama siyo wote baadhi ya mawaziri na hata wakuu wa mikoa na WA wilaya utawasikia wanapotekeleza majukumu Yao hujinasibu kwamba mheshimiwa Rais amewapa agizo la kutekeleza jambo Fulani.
Waziri wa ardhi mheshimiwa Silaa alipokuwa mkoani Katavi katika ziara ya katibu mkuu wa CCM Chongolo alisema Rais amemtuma kuumaliza mgogoro wa ardhi kati ya wananchi 400 na chuo Cha kilimo Katavi. Na kwamba hati ya ardhi ya chuo hicho irekebishwe Ili wananchi waendeleze ardhi Yao.

Kauli kama hiyo iliwahi kutolewa na waziri wa ardhi mheshimiwa William Lukuvi kwamba Rais Samia amemtuma kuumaliza mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa Sae mpya (maarufu mtaa wa LUKUVI) na chuo Cha kilimo Cha Uyole. Wananchi Kwa Kasi baada ya kauli wakaanza kujenga Ili kuendeleza eneo lao.

Ajabu akaja mkuu wa wilaya Mbeya na kauli nyingine kwamba Rais amemtuma kuwaondoa wananchi eneo Hilo Kwa matumizi ya serikali na kwamba watalipwa fidia.

Waziri wa kilimo Bashe naye katika Nane Nane anawachongea wananchi Kwa Rais kwamba wananchi wamevamia eneo la chuo Cha kilimo. Ashukuriwe Mungu Samia ana akili sana! Akaagiza viongozi washughulikie mgogoro huo bila kuleta taharuki Kwa Wananchi.

Ndiyo najiuliza hivi hawa mawaziri kweli wanatumwa na Rais au wanatudanganya Ili tuwaamini jambo lisilo la kweli?
Ni kweli yako wanaoagizwa "directly" ama hayo mengine ni utekelezaji wao wa majukumu....
 
Kama siyo wote baadhi ya mawaziri na hata wakuu wa mikoa na WA wilaya utawasikia wanapotekeleza majukumu Yao hujinasibu kwamba mheshimiwa Rais amewapa agizo la kutekeleza jambo Fulani.
Waziri wa ardhi mheshimiwa Silaa alipokuwa mkoani Katavi katika ziara ya katibu mkuu wa CCM Chongolo alisema Rais amemtuma kuumaliza mgogoro wa ardhi kati ya wananchi 400 na chuo Cha kilimo Katavi. Na kwamba hati ya ardhi ya chuo hicho irekebishwe Ili wananchi waendeleze ardhi Yao.

Kauli kama hiyo iliwahi kutolewa na waziri wa ardhi mheshimiwa William Lukuvi kwamba Rais Samia amemtuma kuumaliza mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa Sae mpya (maarufu mtaa wa LUKUVI) na chuo Cha kilimo Cha Uyole. Wananchi Kwa Kasi baada ya kauli wakaanza kujenga Ili kuendeleza eneo lao.

Ajabu akaja mkuu wa wilaya Mbeya na kauli nyingine kwamba Rais amemtuma kuwaondoa wananchi eneo Hilo Kwa matumizi ya serikali na kwamba watalipwa fidia.

Waziri wa kilimo Bashe naye katika Nane Nane anawachongea wananchi Kwa Rais kwamba wananchi wamevamia eneo la chuo Cha kilimo. Ashukuriwe Mungu Samia ana akili sana! Akaagiza viongozi washughulikie mgogoro huo bila kuleta taharuki Kwa Wananchi.

Ndiyo najiuliza hivi hawa mawaziri kweli wanatumwa na Rais au wanatudanganya Ili tuwaamini jambo lisilo la kweli?
Wanatenda Kwa niaba ya Rais na pia ni namna ya kuonesha utii.

.Bashungwa ndio amezidi.
 
Kama siyo wote baadhi ya mawaziri na hata wakuu wa mikoa na WA wilaya utawasikia wanapotekeleza majukumu Yao hujinasibu kwamba mheshimiwa Rais amewapa agizo la kutekeleza jambo Fulani.
Waziri wa ardhi mheshimiwa Silaa alipokuwa mkoani Katavi katika ziara ya katibu mkuu wa CCM Chongolo alisema Rais amemtuma kuumaliza mgogoro wa ardhi kati ya wananchi 400 na chuo Cha kilimo Katavi. Na kwamba hati ya ardhi ya chuo hicho irekebishwe Ili wananchi waendeleze ardhi Yao.

Kauli kama hiyo iliwahi kutolewa na waziri wa ardhi mheshimiwa William Lukuvi kwamba Rais Samia amemtuma kuumaliza mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa Sae mpya (maarufu mtaa wa LUKUVI) na chuo Cha kilimo Cha Uyole. Wananchi Kwa Kasi baada ya kauli wakaanza kujenga Ili kuendeleza eneo lao.

Ajabu akaja mkuu wa wilaya Mbeya na kauli nyingine kwamba Rais amemtuma kuwaondoa wananchi eneo Hilo Kwa matumizi ya serikali na kwamba watalipwa fidia.

Waziri wa kilimo Bashe naye katika Nane Nane anawachongea wananchi Kwa Rais kwamba wananchi wamevamia eneo la chuo Cha kilimo. Ashukuriwe Mungu Samia ana akili sana! Akaagiza viongozi washughulikie mgogoro huo bila kuleta taharuki Kwa Wananchi.

Ndiyo najiuliza hivi hawa mawaziri kweli wanatumwa na Rais au wanatudanganya Ili tuwaamini jambo lisilo la kweli?
Usishangae Mkuu, siku hizi hata kwenda Choo wanatumwa na Rais.
 
Ndiyo najiuliza hivi hawa mawaziri kweli wanatumwa na Rais au wanatudanganya Ili tuwaamini jambo lisilo la kweli?
Mwajiri wa watumishi wote wa umma ni rais wa JMT, hivyo viongozi wote wa kuteuliwa na rais, kila wachofanya ni wanafanya kwa niaba ya rais, kwa utaratibu wa the end justify the means, hata fedha, wanaolipa kodi ni wananchi, hivyo fedha za kodi ya kuendesha serikali yetu ni fedha zetu, TRA inazikusanya, baada ya kufika TRA, zinageuka ni fedha za serikali ni fedha za Samia, wateule wa rais kila wakiongea utawasikia Samia kutoa fedha hizi na zile na zinaitwa fedha za Samia!.

Hivyo sii kweli ni fedha za Samia, ni fedha zetu, na hata tukikopa tunaolipa ni sisi!, hao viongozi hawajatumwa na rais ila chochote wanachofanya ni wanafanya kwa niaba ya rais wa JMT.
P
 
Bashungwa ni moja ya waziri muoga na dhaifu kuwahi kutokea no wonder anahamishwa wizara kila uchao
Bashungwa by nature ni muoga, mpole na mnyenyekevu kupitiliza. Hata nilipoonana nae kwake alikuwa hivyo wakati ni Waziri na mimi ni raia tu nimeenda kumfanyia kazi
 
Wanatenda Kwa niaba ya Rais na pia ni namna ya kuonesha utii.

.Bashungwa ndio amezidi.
Sasa mkuu hoja yangu kama kweli ni Kwa niaba ya Rais mbona kama wanapinga tena wao Kwa wao. Yaani Rais anamtuma waziri kufanya shughuli Fulani wakati huo huo waziri mwingine kibaya zaidi hata mkuu wa wilaya au mkoa kuleta agizo tofauti Kwa uongo kwamba naye ametumwa na Rais. Yaani hapo wanatudanganya sisi watawaliwa.
 
Ni wajinga sana. Wanamtaja Rais mpaka wanakera, wanajikomba kupita kiasi.Hivi kwa hali hiyo waziri anaweza kujiuzulu kwa vile rais ameenda kinyume na katiba.
Rais atajwe ila sio kwenye Kila point inakuwa inakera.

Wamtaje kama anavyofanyaga PM simple and clear sio Kila sentensi
 
Sasa mkuu hoja yangu kama kweli ni Kwa niaba ya Rais mbona kama wanapinga tena wao Kwa wao. Yaani Rais anamtuma waziri kufanya shughuli Fulani wakati huo huo waziri mwingine kibaya zaidi hata mkuu wa wilaya au mkoa kuleta agizo tofauti Kwa uongo kwamba naye ametumwa na Rais. Yaani hapo wanatudanganya sisi watawaliwa.
Wanakosea kuweka Kila input Yao kumtaja Rais
 
Kauli kama hiyo iliwahi kutolewa na waziri wa ardhi mheshimiwa William Lukuvi kwamba Rais Samia amemtuma kuumaliza mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa Sae mpya (maarufu mtaa wa LUKUVI) na chuo Cha kilimo Cha Uyole. Wananchi Kwa Kasi baada ya kauli wakaanza kujenga Ili kuendeleza eneo lao.

Ajabu akaja mkuu wa wilaya Mbeya na kauli nyingine kwamba Rais amemtuma kuwaondoa wananchi eneo Hilo Kwa matumizi ya serikali na kwamba watalipwa fidia.

Waziri wa kilimo Bashe naye katika Nane Nane anawachongea wananchi Kwa Rais kwamba wananchi wamevamia eneo la chuo Cha kilimo. Ashukuriwe Mungu Samia ana akili sana! Akaagiza viongozi washughulikie mgogoro huo bila kuleta taharuki Kwa Wananchi.
Ukiona hivyo maana yake huyo anayewaagiza mawaziri mwenyewe hajui afanyacho
 
Mwisho wa siku Bashe anasema maamuzi ya mwenzie Lukuvi yalikuwa ya kisiasa hii Nchi ngumu sana
 
Back
Top Bottom