Hivi Hawa walimu wapo wapi? Mkandawile, Mama Shija, Ndosi, Ngalawa..

Sasa kamanda, mademu as you put it, walikuwa wazuri ama macho yako yalikuwa hayajawazoea?
(tomorrow i will shoot somebody on the head and i dont want an alibi!)
Kamanda... Enzi zile tambaza ilikua ya wagumu kwahiyo ukiona ngozi ya lotion unahisi umeona malaika, pamoja na hayo, macho yangu hayajawahi kunidanganya... At least when it comes to a beauty!!!


...(dont shoot no body, slap on the face will do!)
 
Dah..Mkandawile mzee Wa PUGU....unatoka mkoani kuja kupiga Chemia Dar!ukirudi na notes za Mkandawile we ni mfalme....kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha!ndani ya Tabora School...bweni la Sina!nikapiga banda langu na Chemia na ma B mengine...bila ushauri nikajikoki MUHAS kujilipua na Dental...hata mwaka haukuisha kama naugua vilee..kumbe ndo nahairisha!huyoo BAF

mkuu dental inaelekea siomchezo
 
Hahahaaaaa.... Yaani umenikumbusha sana hiyo ya wenye notisi za mwaka jana waongeze hii, maana mie nilikuwa na daftari ya sister wangu, hivyo nilikuwa naongeza hizo nyongeza huku nikistaajabu mwalimu anavyokariri mambo.. Mie nilisoma St. Anthony.. Kipindi cha likizo ndio nilikuwa napiga Tuition hapo Mtendeni..

mie nilikuwa Pugu, so tulikuwa tunaenda mpaka kwake jion anatupigia pindi...i real miss that life...life la pressure pressure za mkanda na kina busanji wake...anakupigia, kijana utapata nini...?ni sheta boy anakusumbua, hapo unakuta umesinzia...ha ha haa...he was areal teacher kwa kweli...
 
Duh! mimi mzee wa Analog (Late 80 Early 90's) namkumbuka sana mwalimu KIMBUNGA - Madenge Primary School huyu ndiye aliyenifundisha HESABU (Tuisheni Tsh 400/= kwa mwezi!!!) hadi nikafaulu -nikachaguliwa kujiunga na Sekondari, sijui yupo wapi?. Alikuwa kichwa darasa la saba lakini mambo alikuwa anafanya makubwa sana by then mnafanya mtihani watu 60 kati yenu 58 wanachaguliwa kwenda Sekondari mainly kazi yake yeye. Shule za jirani anachaguliwa mmoja ama hakuna hata mmoja.
 
nilifundishwa na mkandawile form 6 nikafundishwa na mama shija .... mama shija ni kichwa cha chemistry DAR sijui mkoani ... nitamkumbuka sana huyu mama ... nikirudi tz itabidi nimtafute kama yupo hai inshaAllah ...
 
Hey, not so fast bi.tch!

That's assuming that you did indeed attend and successfully complete classes at Form 5 and 6 levels at Tambaza High School, which, given your less than mediocre reputation in here, I doubt if you even possess an equivalent US GED level qualification.

To be be honest, your level of education is more at par with grade 3 US to me, leave alone Form Four or even Six TZ!

Punguza matusi papaa wemba na acha kulinganisha vya marekani na Tanzania alafu sio kila mtu anamtindio wa ubongo kama wewe. Kama hukupenda au hupendi wanachoandika wenzio usisome au unawaswa masaburi??
 
dah kwa kweli wengi tulimfaidi sana mwalimu mkandawile directly or indirectly.

Japo sikuwahi kuhudhuria tuition class yake lakini niliweza kusoma notes za waliohudhuria na kwa kweli niliangusha banda langu la kemia

Mimi hata sijawahi kumuona japo jina lake ni maarufu sana. Natamani japo kumuona

all the best mkandawile popote ulipo hakika umewainua na kuwavusha vijana wengi. Mungu akubariki popote ulipo in your life

EE bana mmenikumbusha enzi za Mkanda boy. Nakumbuka enzi za tuition pale Mtendeni jamaa alipiga darasa tar 25 na 26 December na darasa likajaa, waliokosa tar 27 akawa anasema ...."Mpunga boy haoniiiii........ akimaanisha wameachwa kwenye topic. jamaa alikua anapiga suti nyekundu kila siku na analetwa na taxi cjui gari yake ile corola........ hahahah pugu boys walikua wanafukuzwa darasani.

Hivi hiki kizazi cha Kawambwa kweli kuna denti wanaothubutu kuacha mpunga home na kwenda tuition siku ya sikukuu?
 
mie nilikuwa Pugu, so tulikuwa tunaenda mpaka kwake jion anatupigia pindi...i real miss that life...life la pressure pressure za mkanda na kina busanji wake...anakupigia, kijana utapata nini...?ni sheta boy anakusumbua, hapo unakuta umesinzia...ha ha haa...he was areal teacher kwa kweli...



Mkuu nahisi tumesoma pugu kipindi kimoja mana hayo matukio ya kwa MKANDA BOY unanigusa kabisa!!
"Hii kiboko"
 
Back
Top Bottom