Pauline,
utafanya full inspection? mpaka engine?
kwa jicho tu, au mikono pia...na ikibidi utatumia vifaa vyengine kufanikisha ukaguzi huo ili kina dada wapate mali iliyopasishwa vyema?
kweli unayaweza...umejitolea kwa hili..hongera mama!!
Baadhi ya wachache niwajuao wapo hivyo!
Mmmmh
uwajuavvyo?lol
unawajua how?
usije sema mpaka ni nchi ngapi wanazo lol
sasa huyu mbona shoga?
sasa huyu mbona shoga?