hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
eeehhhhh?
siko hivyo basi duh...
sifanani nae kabisa.lol
kaka hilo li mfuko lote chini katikati ya miguu la kazi gani?
eeehhhhh?
siko hivyo basi duh...
sifanani nae kabisa.lol
kumdhihirishia dada dinnah kuwa wakaka wa JF mpo fit,wekeni picha zenu basi tuwaone...:msela::hungry::hungry:
kaka hilo li mfuko lote chini katikati ya miguu la kazi gani?
Mkuu, kwamba Divorce nyingine huwa ni za kujitakia.......kaka we acha tu..
sasa wewe vipi hiyo avatar?au
kwa sababu michelle hayupo?
Nimecheka nikamkumbuaka marehemu Dr. Remmy anasema 'mwanamume ni mashine'
kaka we acha tu..
sasa wewe vipi hiyo avatar?au
kwa sababu michelle hayupo?
Naomba unikagulie nguli jabali, klorokwini, cpu, akili unazo, bujibuji, mkamuajipu, mtoboa siri, da womanizer, chriss mambo, bacha, hashycool umalizie na the boss naomba majibu baada ya wiki
nimeamua kuweka ya kwangu bana....
all that time nilikuwa najua ile ya kiarabu ndo yako
na pengine michelle ali fall na ile.lol
so what now??????lol
pm yako inapokea picha?
hahahaaa kazi ya ukaguzi nimempa pauline bana
brother cant you feel me on that pic?
confused
i can feel you,no wonder she asked for a ban lol
Mkuu nina cardinal rule yangu kwamba make people expect less alafu unawapa zaidi kuliko wanaexpect mambo makubwa alafu unashindwa kudeliver.., hapo utakuwa umeharibu kila kitu... Wakiexpect less no matter what utakuwa ume-overdeliverall that time nilikuwa najua ile ya kiarabu ndo yako
na pengine michelle ali fall na ile.lol
so what now??????lol
aliona kapotea nini?.....l.o.l
Mambo Pauline si unaona hapo kwenye reply na Reply with Quote kuna box pembeni ? sasa unagusa hapo kwa wote unaotaka kuwa-quote inatokea tick sasa kwa yule wa mwisho hugusi hapo unagusa Reply with qoute zinatoka zote hata kama ziko page tofauti,hebu jaribu nijuwe umeelewa NB: si umeona nilivoshambuliwa kwenye thread yako ya mgomo ? yote nimekubali kwa hiyo 'true smile' yako lol!hivi ukitaka kuquote watu wawili na zaidi unafanyaje?lol
Kwahiyo mimi utanikagua mwenyewe sio lol!Naomba unikagulie nguli jabali, klorokwini, cpu, akili unazo, bujibuji, mkamuajipu, mtoboa siri, da womanizer, chriss mambo, bacha, hashycool umalizie na the boss naomba majibu baada ya wiki
haa haa aliona amepata arabian prince
kumbe mswahili wa mbagala.now she is confused...