Hivi hadi siku hizi kuna watu wanapiga wake zao?

Mimi ukinipiga ndio hiyo itakuwa mara yako ya mwisho kugusa ngozi yangu.

Nakufikisha polisi na ndio utakuwa mwisho wetu

Kupigana haikubaliki hata kidogo. Kama kupigwa ningepigwa utotoni, haikuwahi kutokea hata mara moja.

Sasa kama njia za amani tumeshindwa kufikiana muafaka, na tuachane kwa amani, haiwezi kutokea sababu ya kuhalalisha kupigwa. Ever

Unaona G. Exactly my point........si kila mwanamke ni lazima apigwe. Kwa mfano tuna wewe hapa mwalimu wetu kwako haikubaliki kabisa au sio. Mimi nachopinga ni hii ya kulazimisha kuwa inatakiwa iwe hivyo hivyo kwa kila mwanamke. Trust me G kuna wanawake bila kichapo hamuelewani na hii ni from xp.......kwa hiyo nyie madada wa JF mnaolalama hapa kama nyie hamkubaliani na kipigo, thats fine coz kuna type yenu pia lakini msithubutu kudhani kuwa dunia ina wanawake wa aina yenu peke yake. Kwa mfano mimi nilishawahi kuwa na wale wa kupewa kichapo, wale wa kupewa maneno matamu tu na wakaelewa na wale wengine hadi uwe mkali ndio waelewe unasema kitu gani.

Haya nawasubiri hapa mtupie mawe.
 
Kwa nini mwanamke asipigwe? au unadhani wanawake wote wako sawa na wanaringana? mbona wanaume wanapigwa na wake zao?

Mimi si miongoni mwa wapigaji ila ukinichanganya siku ni lazima ule kisago cha uhakika ili uelewe kabisa kwamba to be a Gentleman siyo ujinga.

Hala hala usipigwe wewe, manake kama hujawahi kumpiga bado hujui yeye yuko sawia kwa kiasi gani......

Ila surely you can speak your mind rather than kurusha ngumi, una uhakika hakuna unachofanya wewe kinamkwaza kiasi cha kuwa angekuwa na ubavu angekuvunja hata shingo?
 
kumpiga mke sidhani kama ndio adhabu inayostahili...... cacico umenikumbusha mume alimfumania mkewe yule bwana hakumpiga wala kumwuliza kilichotokea yule mwanamke aliondoka bila kupewa talaka.... Matola umenishangaza na mtama unamkata daaah nafikiri kitakachofwata kuondoka kuliko kuja kutolewa ngeu na kutoa vizingizio mtaani nilijigonga na dirisha
hilo si suluhisho hata kidogo! eti kumpiga mwanamke! hata kama ameua, muache kimya kimya uone kitakachofuata, yaani hakuna weapon kwa kosa kubwa kama cheatings kama kuwa SILENT! muangalie atakavyohangaika na kusononeka, lakini ukimpiga ndo unazidisha matatizo. yaani kwa kweli ni hapana! WAKAKA, WABABA msipige partners/wake zenu!
 
Hakuna watu ninaowachukia kama wanafki, unajuwa Benjamini Mkapa na Anna Mkapa walianzishiana songombingo ikulu na kesho yake wote walikausha kuuwa soo, sasa hapa nani aliyesoma na mwenye pesa kumzidi Anna Mkapa na ajitokeze, maana naona kuna watu kupigwa/kupigana sijui wanadhani ni kama kitenes unakikuta na kukipiga tu au kuna na strong source inayokosa uvumilivu na kucontrol temper?
 
Hebu tueleweshane juu ya huo ukweli.

Hayaendi kabisa, kivipi?

Hapo hujaelewa kitu gani G??!!! Kuwa mambo hayaendi......well ni ishu kama makubaliano fulani, maagizo na maisha kwa ujumla. Kwa mfano kuna shemeji yangu mmoja yeye alikuwa akiambiwa kitu na mume wake hata mara 10 hafanyi lakini mumewe akikasirika na kumtia vibao kidogo basi immediately mambo yanafanyika, halafu sasa kesho yake unakuta anacheeeeeeka mwenyewe, tena unakuta anasema jana nimeemuudhi baba James kanitia vibao.....halafu sasa mnaona kabisa kuwa anazidisha mapenzi na madoido kibao.
 
hilo si suluhisho hata kidogo! eti kumpiga mwanamke! hata kama ameua, muache kimya kimya uone kitakachofuata, yaani hakuna weapon kwa kosa kubwa kama cheatings kama kuwa SILENT! muangalie atakavyohangaika na kusononeka, lakini ukimpiga ndo unazidisha matatizo. yaani kwa kweli ni hapana! WAKAKA, WABABA msipige partners/wake zenu!

Kinachokufanya uamini kuwa reaction ya kuacha kimya kimya inafanana kwa kila mwanamke ni kitu gani?? Mimi ukiniletea dharau nakuchapa halafu nakumwaga.
 
Unaona G. Exactly my point........si kila mwanamke ni lazima apigwe. Kwa mfano tuna wewe hapa mwalimu wetu kwako haikubaliki kabisa au sio. Mimi nachopinga ni hii ya kulazimisha kuwa inatakiwa iwe hivyo hivyo kwa kila mwanamke. Trust me G kuna wanawake bila kichapo hamuelewani na hii ni from xp.......kwa hiyo nyie madada wa JF mnaolalama hapa kama nyie hamkubaliani na kipigo, thats fine coz kuna type yenu pia lakini msithubutu kudhani kuwa dunia ina wanawake wa aina yenu peke yake. Kwa mfano mimi nilishawahi kuwa na wale wa kupewa kichapo, wale wa kupewa maneno matamu tu na wakaelewa na wale wengine hadi uwe mkali ndio waelewe unasema kitu gani.

Haya nawasubiri hapa mtupie mawe.

Sasa hawa wanaokwenda kwa kipigo huwa wanabadilika? Mwisho wake huwa ni nini Mjasiria? Maana nakumbuka sie tunaambiwa mtoto ukimpiga sana anakuwa sugu, je mwanamke naye hawezikuwa sugu ukawa kila siku anarudia makosa na wee ukaambulia zile za ..Nipige sasa, we si umezoea kunipiga nipige! Nshakuzoea??

Mie nilishashuhudia mmasai mmoja alikuwa jirani yetu enzi hizo ningali mdogo, alikuwa anampiga mkewe kila mara siku ya siku mkewe akamjia na hizo za nipige sasa si ulishazoea, tena akendachukua kisu kabisa akalaza kichwa chake kwenye kochi akimtaka mumewe ammalize kabisa......................................
 
Unaona G. Exactly my point........si kila mwanamke ni lazima apigwe. Kwa mfano tuna wewe hapa mwalimu wetu kwako haikubaliki kabisa au sio. Mimi nachopinga ni hii ya kulazimisha kuwa inatakiwa iwe hivyo hivyo kwa kila mwanamke. Trust me G kuna wanawake bila kichapo hamuelewani na hii ni from xp.......kwa hiyo nyie madada wa JF mnaolalama hapa kama nyie hamkubaliani na kipigo, thats fine coz kuna type yenu pia lakini msithubutu kudhani kuwa dunia ina wanawake wa aina yenu peke yake. Kwa mfano mimi nilishawahi kuwa na wale wa kupewa kichapo, wale wa kupewa maneno matamu tu na wakaelewa na wale wengine hadi uwe mkali ndio waelewe unasema kitu gani.

Haya nawasubiri hapa mtupie mawe.

Kweli inaweza kuwa tupo biased kwa sababu tunalinganisha wanawake wote kwa vigezo vyetu sisi, lakini nyinyi pia hamtusaidii kuwajua hao wanawake mnaona wanastahiki vichapo (kama wapo)


Mimi naamini wanawake wote sawa na hawastili kupigwa, wewe tueleweshe hao wengine wanakuwa na hulka gani? Na kwa nini wapigwe? Na jee huwa wanapigwa kwa lengo gani? Mpigaji huwa anadhamira gani anapowapiga? Jee huwa anapata mafanikio ya dhamira yake?
 
Kweli inaweza kuwa tupo biased kwa sababu tunalinganisha wanawake wote kwa vigezo vyetu sisi, lakini nyinyi pia hamtusaidii kuwajua hao wanawake mnaona wanastahiki vichapo (kama wapo)


Mimi naamini wanawake wote sawa na hawastili kupigwa, wewe tueleweshe hao wengine wanakuwa na hulka gani? Na kwa nini wapigwe? Na jee huwa wanapigwa kwa lengo gani? Mpigaji huwa anadhamira gani anapowapiga? Jee huwa anapata mafanikio ya dhamira yake?
Unaishi wapi?
 
Sasa hawa wanaokwenda kwa kipigo huwa wanabadilika? Mwisho wake huwa ni nini Mjasiria? Maana nakumbuka sie tunaambiwa mtoto ukimpiga sana anakuwa sugu, je mwanamke naye hawezikuwa sugu ukawa kila siku anarudia makosa na wee ukaambulia zile za ..Nipige sasa, we si umezoea kunipiga nipige! Nshakuzoea??

Mie nilishashuhudia mmasai mmoja alikuwa jirani yetu enzi hizo ningali mdogo, alikuwa anampiga mkewe kila mara siku ya siku mkewe akamjia na hizo za nipige sasa si ulishazoea, tena akendachukua kisu kabisa akalaza kichwa chake kwenye kochi akimtaka mumewe ammalize kabisa......................................
Kupiga pia is an art, siyo kumfanya mwenzio ngoma
 
Hakuna watu ninaowachukia kama wanafki, unajuwa Benjamini Mkapa na Anna Mkapa walianzishiana songombingo ikulu na kesho yake wote walikausha kuuwa soo, sasa hapa nani aliyesoma na mwenye pesa kumzidi Anna Mkapa na ajitokeze, maana naona kuna watu kupigwa/kupigana sijui wanadhani ni kama kitenes unakikuta na kukipiga tu au kuna na strong source inayokosa uvumilivu na kucontrol temper?

Kwanza kwa vile tupo kwenye mtandao hapa, huwezi kujua kama yupo aliyesoma na kuwa na pesa kuliko Anna Mkapa. Pili wewe mwenyewe ukiulizwa kwa uhakika hasa huyo Anna Mkapa ana kiasi gani hujui

Juu ya hivyo, hatujui umekusudia nini unapohusisha kupigwa na kupigana na elimu na pesa hususan ya anaepigwa.
 
Kumpiga mke! mimi hapana, kama tumefikishana mahali nimeshindwa kumvumilia kutokanan na vitendo vyake, ni biora hata kuachana....
Kama mwanaume anafikia mahali pa kumpiga mkewe, nadhani huyo atakuwa na walakini katika ubongo wake....
Ningezaliwa mapema ningefanya jitihada zote ili niolewe nawe. Bahati mbaya mama kanichelewesha nimekuta wanaume wote ni mabondia tu.
 
Hapo hujaelewa kitu gani G??!!! Kuwa mambo hayaendi......well ni ishu kama makubaliano fulani, maagizo na maisha kwa ujumla. Kwa mfano kuna shemeji yangu mmoja yeye alikuwa akiambiwa kitu na mume wake hata mara 10 hafanyi lakini mumewe akikasirika na kumtia vibao kidogo basi immediately mambo yanafanyika, halafu sasa kesho yake unakuta anacheeeeeeka mwenyewe, tena unakuta anasema jana nimeemuudhi baba James kanitia vibao.....halafu sasa mnaona kabisa kuwa anazidisha mapenzi na madoido kibao.

Kuna watu wengine wana matatizo ya kisaikolojia, kisha sisi tunachukulia kama mzaha

Mtoto aliyetoka kwenye familia ambayo mama yake alikuwa akipigwa na baba yao mbele yao, ni rahisi kwa mtoto huyo kuona kupigwa ndio mapenzi. Na hilo atalisambaza kwa watoto wake na yeye

Kwa hiyo huyo kaka yako anapompiga hamsaidii, anaharibu watoto wake mwenyewe. Wataambulia kipigo huko watakakoenda.
 
Kweli inaweza kuwa tupo biased kwa sababu tunalinganisha wanawake wote kwa vigezo vyetu sisi, lakini nyinyi pia hamtusaidii kuwajua hao wanawake mnaona wanastahiki vichapo (kama wapo)


Mimi naamini wanawake wote sawa na hawastili kupigwa, wewe tueleweshe hao wengine wanakuwa na hulka gani? Na kwa nini wapigwe? Na jee huwa wanapigwa kwa lengo gani? Mpigaji huwa anadhamira gani anapowapiga? Jee huwa anapata mafanikio ya dhamira yake?

Kukujibu swali lako kwa kifupi tu, ni kwa upande wangu mimi lengo lilikuwa linafikiwa na nimeshaona watu wengine kadhaa ambao lengo linafikiwa (well at least that is how it looks from outside). Lakini kama ilivyo katika mahusiano yasiyo na mapigano itoshe tu kusema kuwa saa nyingine lengo linaweza lisifikiwe pia. Pia kumbuka hapa nazungumzia kipigo cha kawaida kabisa sio zile dizaini za kulazana hospitali na kutiana vilema vya maisha.
 
ngoja niendelee na jimu nione kama kidume kitanyanyua mkono! Na atakaepigwa aniite nikamtie adabu (bittersweet) huyo mwanaume............
456213.jpg
 
Kuna watu wengine wana matatizo ya kisaikolojia, kisha sisi tunachukulia kama mzaha

Mtoto aliyetoka kwenye familia ambayo mama yake alikuwa akipigwa na baba yao mbele yao, ni rahisi kwa mtoto huyo kuona kupigwa ndio mapenzi. Na hilo atalisambaza kwa watoto wake na yeye

Kwa hiyo huyo kaka yako anapompiga hamsaidii, anaharibu watoto wake mwenyewe. Wataambulia kipigo huko watakakoenda.

Na kwa nini uone hayo ni matatizo ya kisaikolojia?! kwa sababu kama lengo ni kufurahia ndoa na hao watu wanafurahia maisha yao kwa nini wewe uone ni tatizo? Na kwanini utake kutuaminisha kuwa kufurahia ndoa ni lazima tuishi kwa staili ambayo wewe unaamini ndiyo sahihi??

On the other side hauoni kuwa yule aliye hyper-sensitive kwenye ishu za kupigwa kama wewe naye ana matatizo ya kisaikolojia kwa sababu katika makuzi yake hakuona mama yake akipigwa (au yeye mwenyewe kupigwa). Hivyo naye ameathirika kwa namna moja au nyingine?

Kwa maneno mengine kama huyu anayeona kupigwa ni tatizo na atafurahi zaidi asipopigwa kwa sababu tu alilelewa hivyo basi si haki kumhukumu huyu mwingine anayeona kupigwa/kupigana siyo ishu na ana anafurahi zaidi iwapo hayo mambo yatakuwepo kwamba ana matatizo kwa kuwa naye ndivyo alivyolelewa. Otherwise itakuwa kama double standards fulani.

Mwisho tatizo ni kuwa hakuna frame of reference ya malezi sahihi na hapa ndipo nadhani itabidi tukubaliane kutokukubaliana kwa sababu itakuwa vigumu sana kukubaliana kama hatuna common reference point. Na hapa ndio utaona umuhimu wa dini na maadili katika jamii.
 
Kuna watu wengine wana matatizo ya kisaikolojia, kisha sisi tunachukulia kama mzaha

Mtoto aliyetoka kwenye familia ambayo mama yake alikuwa akipigwa na baba yao mbele yao, ni rahisi kwa mtoto huyo kuona kupigwa ndio mapenzi. Na hilo atalisambaza kwa watoto wake na yeye

Kwa hiyo huyo kaka yako anapompiga hamsaidii, anaharibu watoto wake mwenyewe. Wataambulia kipigo huko watakakoenda.
Vipi kuhusu mtoto anayelala kitanda kimoja na mama yake na anapigwa mashine na mwanaume mwingine huku mtoto anajuwa huyu si Baba yake na miguno yote anaisikia?
Hapa unaonaje?
 
Mwisho tatizo ni kuwa hakuna frame of reference ya malezi sahihi na hapa ndipo nadhani itabidi tukubaliane kutokukubaliana kwa sababu itakuwa vigumu sana kukubaliana kama hatuna common reference point. Na hapa ndio utaona umuhimu wa dini na maadili katika jamii.
Kiranga atakwambia yeye hana dini.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom