Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,057
Mnataka wote tukatwe mitama kama Kanumba tufe kizembe kabisa eehhee!! No way, mimi napiga makofi, ngumi, vichwa na ngwala juu, pelekeni uzungu wenu huko huko.kwa hiyo kama kwao alikuwa anabeba kuni ndo unampiga?
I am so ashamed of u aisee. Mwanaume kupiga mkeo sio tu ni tatizo la ubongo lakini ni ishara ya kuwa weak. I mean coward. A real man faces his issues banaa.
Ningekuona una cha maana kama ungeuliza hivi inafikia stage gani mpaka unamuadhibu mwanamke? msikae humu mitandaoni kupretend wakati labda jana tu boy friend wako kakufumania kwenye choo cha club unaliwa denda halafu unasema asikupe kichapo!! No way.