Jamani wanajamii naomba kujuzwa kuhusiana na betri kwenye Desk top computers,kwa sababu computer yangu aina ya DELL ninapotaka kuiwasha siku hizi, kwanza inanialert kwamba " computer batri is low", sasa nashindwa kujua hivi na hizi desk top nazo zina batery? Na kama zinazo basi zipowapi kwenye computer?,na kubadilisha betri unaweza kubadilisha mwenyewe au mpaka mpelekee fundi? na hizo betri ni shiligi ngapi?. Naomba masaada wenu JF
Nawasilisha.
Nawasilisha.