Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Wakubwa naomba kuuliza,nimekua nikiona baadhi ya wanafunzi wa udsm na udom humu jf wakiongea kuhusu account zao za aris,nilichogundua ni kwamba aris ni a/c ambayo kila mwanafunz wa chuo husika anakuwa nayo,huwa imewekwa taarifa zote za mwanafunz husika.naomba kuuliza jinsi hyo kitu inavyopatikana au ni ukiishapata admission kwenye chuo husika tu,tayari unakuwa nayo?