GlorytoGod
Senior Member
- Sep 8, 2012
- 158
- 50
Katika kuhitimisha mjadala uliokuwa unahusu maandamano katika kipindi cha kipimajoto ITV, Mdau mmoja alihitimisha kwa kuwaomba polisi wajitathmini ni kwanini wana vitambi? maana katika kila mauaji yanayotokea nchini yanahusishwa na polisi pale wanapotumiwa na wanasiasa haswa haswa hawa wa nyinyiem, je ni kweli vitambi vya polisi vinaletwa na hela isiyo safi? maana walitolea mfano cuf kipindi inavuma wanachama wake wengi walivyouwawa na polisi kule zanzibar, na sasa imeahamia chadema, je polisi ni kweli vitambi vya polisi ni vya hela chafu?