Historia ya kweli ya jambazi msomi na aliyefanikiwa zaidi katika azma yake

Huyu jamaa atakuwa alikuwa Jasusi sio bure, atakuwa alikuwa anatumika hata hizo taasisi kujipatia fedha maana CIA ndio mtindo wao. Elimu nzuri, mafunzo maalum jeshini, mafunzo ya mapigano. Mpaka hapo alikuwa tayari ameshatoka kimaisha, ilikuaje aka risk maisha kuvamia mabenki? Labda unishawishi kupitia muendelezo ujao, lakini mpaka sasa naamimi kulikuwa na watu/taasisi nyuma yake ikimtumia, na ndio imekuwa msaada kwake kutokamatwa na FBI miaka yote 30

Kabisa! Kama ni kweli alikuwa mtu wa CIA asingekamatwa kamwe.. Ishu ingeishia juu kwa juu kusingekuwa na ulazima wa kumu-expose hivi..
Binadamu ni viumbe wa ajabu mkuu, Carl alihisi kuwa jambazi ndio destiny yake! Pia akiwa anahojiwa na FBI aliwaeleza kuwa ile rekodi yake ya kufungwa jela miezi 18 akiwa mtoto hakujua kuwa zile rekodi zinakuwa expunged baada ya muda fulani! Yeye aliamini hiyo rekodi ingekaa maisha yake yote na asingeweza kuajiriwa sehemu yoyote yenye staha..
 
Hawezi kustand Alone hivo na kufanikisha matukio 30 bila kugundulika hapo kuna watu/mtu au kikundi kilicho msuport kukamilisha hayo
 
Hawezi kustand Alone hivo na kufanikisha matukio 30 bila kugundulika hapo kuna watu/mtu au kikundi kilicho msuport kukamilisha hayo
All the evidences points out that Carl was acting alone kwenye matukio yote hayo, ndio maana limekuwa moja ya issue yenye kushangaza sana na kuvutia hisia za vyombo vya intelijensia..
 
  • Thanks
Reactions: C J
ha ahaha ha ha
Hahah! Ila seriously tumshukuru sana Mungu hatuna "wezi daraja la kwanza" hapa bongo la sivyo tungekoma system zetu za ulinzi kwenye mabenki ziko hovyo sana...

Kuna mtu alinipa 'inside story' ya wale watu walioiba makontena ya copper Morogoro kutoka Zambia yakaenda kukamatwa Mombasa... Aisee ni stori moja very interesting! Ila nikiiweka hapa sidhani kama mods wataicha... Maana duuuhh!!
 
Hahah! Ila seriously tumshukuru sana Mungu hatuna "wezi daraja la kwanza" hapa bongo la sivyo tungekoma system zetu za ulinzi kwenye mabenki ziko hovyo sana...

Kuna mtu alinipa 'inside story' ya wale watu walioiba makontena ya copper Morogoro kutoka Zambia yakaenda kukamatwa Mombasa... Aisee ni stori moja very interesting! Ila nikiiweka hapa sidhani kama mods wataicha... Maana duuuhh!!
huku kwetu wengi vibaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom