Historia ya kweli ya jambazi msomi na aliyefanikiwa zaidi katika azma yake

Hapo ndivyo mifumo ya dunia inapokuwa imara kwa kupata changamoto mbalimbali hasa za hali ya juu.. wakati unatengeneza mfumo wengine wanaangalia udhaifu uliopo ktk mfumo
Ingekuwa hapa bongo angeiba mpaka umuri km wa mzee majuto bila kushikwa
 
Koote nimesoma, ila nina madukuduku mawili.

1. Hizo bank hazikuwa na walinzi.? If yes alikuwa anakabiliana nao vipi ndani ya dakika 2 (je alikuwa anawaua ama.?)

2. Kiasi cha pesa alichokuwa akiiba.
 
Koote nimesoma, ila nina madukuduku mawili.

1. Hizo bank hazikuwa na walinzi.? If yes alikuwa anakabiliana nao vipi ndani ya dakika 2 (je alikuwa anawaua ama.?)

2. Kiasi cha pesa alichokuwa akiiba.
1. Kumbuka alikuwa anatafiti na kufanya matukio kwenye bank ndogo na zilizoko nje ya mji kwenye miji midogo.. That means hata ulinzi unakuwa mdogo and bank nyingi za marekani mlinzi/polisi anakaa ndani ya bank.. So that means mfano akishaingia ndani anawapiga 'telo' (handsup/lay down) this includes mlinzi mwenyewe.. And wenzetu wamestaarabika mlinzi/polisi hafyatui risasi kwa haraka/urahisi ili kuepusha watu kudhulika au kupoteza maisha kutokana na majibizano ya silaha..

2. FBI wanakadiria almeiba zaidi ya shilingi bilioni 4 (USD 2 million).. Lakini inasemekana figure ni kubwa zaidi ya hiyo lakini hiyo ndiyo figure iliyotangazwa kwa public.
 
Hivie Mkuu hivi huyo ndo carlos tuliyekuwa tukimsika zamani? Kuwa halishindwa kukamatwa?
 

Similar Discussions

148 Reactions
Reply
Back
Top Bottom