Hili Tukio la Mwezi Kugubikwa na Msalaba

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,146
13,216
Kwa siku mbili zilizopita Mwezi umeonekana ukiwa umegubikwa na msalaba kwa ambao huenda mmeangalia.........tena msalaba ukiwa umekoza zaidi

nimegoogle nikaona tu mjadala wa suala kama hili ingawa sijapata kuona aliyechangia mantiki yake ila dodosa yangu kwa baadhi ya watu wanasema hali hii inapotokea ni ishara ya maradhi kugubika jamii pia

mwenye uelewa zaidi na hili wadau

picha ya hapa ni picha aliyopiga mdau wakati wa mjadala huo wa 2014

moon_cross.jpg
 
Kwa siku mbili zilizopita Mwezi umeonekana ukiwa umegubikwa na msalaba kwa ambao huenda mmeangalia.........tena msalaba ukiwa umekoza zaidi

nimegoogle nikaona tu mjadala wa suala kama hili ingawa sijapata kuona aliyechangia mantiki yake ila dodosa yangu kwa baadhi ya watu wanasema hali hii inapotokea ni ishara ya maradhi kugubika jamii pia

mwenye uelewa zaidi na hili wadau

picha ya hapa ni picha aliyopiga mdau wakati wa mjadala huo wa 2014

View attachment 369176
Acha kutawaliwa na imani za kishirikina. Hiyo ni illusion ya mwanga uliokumbana na vitu vingine angani kama unyevu, mawimbi au miali mingine. Inaelezeka kisayansi.
 
Kwa siku mbili zilizopita Mwezi umeonekana ukiwa umegubikwa na msalaba kwa ambao huenda mmeangalia.........tena msalaba ukiwa umekoza zaidi

nimegoogle nikaona tu mjadala wa suala kama hili ingawa sijapata kuona aliyechangia mantiki yake ila dodosa yangu kwa baadhi ya watu wanasema hali hii inapotokea ni ishara ya maradhi kugubika jamii pia

mwenye uelewa zaidi na hili wadau

picha ya hapa ni picha aliyopiga mdau wakati wa mjadala huo wa 2014

View attachment 369176
Sisi dini yetu haitafuta makandokando kuihalalisha. Dini yetu inajitetea yenyewe.
 
Back
Top Bottom