Dini yetu haitafuti vitu vya kijinga jinga ili ionekane ni dini ya kweli. Hata kama lingeonekana kanisa apo, isingemaanisha kitu chochote, tungechukulia poa tu.mh nimetoka kapa hapa kaka jambazi
Haji mtu, wewe subiri siku yako ya mwisho.
Hii ina ashiria kuwa Bwana wetu "YESU CHRISTO" yu karibu kuja....
Tujiandae kumlaki na Kumpokea!
Hii ina ashiria kuwa Bwana wetu "YESU CHRISTO" yu karibu kuja....
Tujiandae kumlaki na Kumpokea!
hyo CHRISTO ni Gwajima nn
Hii ina ashiria kuwa Bwana wetu "YESU CHRISTO" yu karibu kuja....
Tujiandae kumlaki na Kumpokea!
Mambo ya Photoshop hayongoja nisubili wenye uhelewa wa hilo jambo waje
Kuna baadhi ya matukio hayana maelezo zaidi ya kuitwa matukio ya ajabu ni matukio yaliyokosa hata maelezo ya kisayansi japo kiroho huwa na maelezo yakeMshana Jr, mzizi mkavu na wengineo wakaribie.
siku ambayo utaacha kutumia za kwako.Hv Lin mtaanza kutumia akili zenu???
Mkuu hilo tukio mimi lilinipita hebu niwekee kapicha kama unako kalikobak maktbaKuna baadhi ya matukio hayana maelezo zaidi ya kuitwa matukio ya ajabu ni matukio yaliyokosa hata maelezo ya kisayansi japo kiroho huwa na maelezo yake
Yapo mengi ya namna hii na mojawapo la karibuni ni lile lililotokea Tanga mjini soko la Ngamiani mwezi uliopita, ule mwembe uliokuwa na Sura ya Nyerere RIP wakati wa jioni jua likizama, wengi waliponda sana lakini matukio ya namna hiyo yapo sana
Mkuu hilo tukio mimi lilinipita hebu niwekee kapicha kama unako kalikobak maktba