Hili swali kutoka kwa wanawake huwa limekaa kimtego Sana

Salute Comrades!

Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.

Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.

Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"

Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.

Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.

Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂

Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Ok
 
Ni ujinga kufikiri kwamba mtu kuwa na kazi nzuri ndio atakupa wewe pesa ...
Kila mtu anazopesa na kila mtu unatafuta pesa swala ni pesa zako unazitumia vipi mkuu kuna watu wako na pesa mingi ila kumpa mwanamke ni ndoto ...
Ila kuna wale ambao kuhonga kwao ni tabia hata kama hana atakopa au auze hata kitu akupe
Me npo kundi la mwisho hapo
 
Hili swali wote tunaulizwa, Kwahiyo tuvumiliane tu uhuni tumefundisha wenyewe.

Inabidi uwe mstaarabu sana ili usimuulize, na ni ile mi husema, as time goes nitajua tu kazi yake. Haraka za nini?

Ila bro Eva kanifundisha kuwa ni kujikatia bima katika hayo mahusiano, Kwahiyo na sisi tuanze kuuliza hili swali tafadhali 😂

Kwahiyo bibi shamba ukapotezewa?
Hivi unajua mtu hata kama alikuwa ana nia njema ukishaanza za 'what do you doing for a living' unamkata stimu..!?

Bro Evelyn Salt ana ukauzu wake flani ukimuiga unapotea nakuambia,

kheeeh' bibi shamba nikaachwa kwenye mataa na matikiti yangu huko Bagamoyo..!!😂😂
 
Hivi unajua mtu hata kama alikuwa ana nia njema ukishaanza za 'what do you doing for a living' unamkata stimu..!?

Bro Evelyn Salt ana ukauzu wake flani ukimuiga unapotea nakuambia,

kheeeh' bibi shamba nikaachwa kwenye mataa na matikiti yangu huko Bagamoyo..!!😂😂
Bima ya mahusiano ni muhimu 😂😂😂 hutaki kusema kazi yako nenda bana aaah
 
Mbona hilo la kawaida, kuna moja unsulizwa kwa mahutiano yetu mwisho wake ni nn?

Yani watu ambao mnapenda kona kona mnashangaza kweli.

Kuna ajabu gani mtu kujua lengo la mnachoanzisha???

Ofcourse, hakuna mahusiano yanaanza yakiwa na guarantee ya kufika mbali hukoo, but knowing kuna potential for that makes a lot of difference. Hamna haja yakupotezeana muda wala mmoja kuwa na expectations ambazo zinaweza kuleta makwazo/usumbufu baadae.
 
Salute Comrades!

Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.

Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.

Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"

Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.

Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.

Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂

Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Mimi ni mweka hazina Pale BOT
 
Yani watu ambao mnapenda kona kona mnashangaza kweli.

Kuna ajabu gani mtu kujua lengo la mnachoanzisha???

Ofcourse, hakuna mahusiano yanaanza yakiwa na guarantee ya kufika mbali hukoo, but knowing kuna potential for that makes a lot of difference. Hamna haja yakupotezeana muda wala mmoja kuwa na expectations ambazo zinaweza kuleta makwazo/usumbufu baadae.
Sema wengi huwa wanna pigo za kihuni anaakuliza hivyo ili aanze kukupiga vizinga kisawa sawa
 
Ukiweza Afford kujipatia mahitaji yako binafsi kwa 90%
Kula
Kuvaa
Kulipa bills ZOTE including house'rent ,electricity,water, and etc.

Then ukawa unasapoti Community kwa level yoyote including with ur FAMILY.

Ukiweza haya mambo hata mwanamke akikuuliza ukamjibu Mimi boda boda au mwalimu wa primary lazima atajua MAISHA yapo.

Hii ni kwa mwanamke au mwanaume assurance inaongeza ukaribu Sana.
 
Salute Comrades!

Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.

Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.

Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"

Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.

Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.

Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂

Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Akiniuliza hivo mwanamke, nitamuuliza iwapo ATASHUGHULIKA NA KAZI YANGU,
We ukiulizwa unafanya kazi gani muulize unataka nigawie mshahara huku una tabasamu...🙂
Namjib please, deal with me, not my occupation, basi..
 
Ukiweza Afford kujipatia mahitaji yako binafsi kwa 90%
Kula
Kuvaa
Kulipa bills ZOTE including house'rent ,electricity,water, and etc.

Then ukawa unasapoti Community kwa level yoyote including with ur FAMILY.

Ukiweza haya mambo hata mwanamke akikuuliza ukamjibu Mimi boda boda au mwalimu wa primary lazima atajua MAISHA yapo.

Hii ni kwa mwanamke au mwanaume assurance inaongeza ukaribu Sana.
Upo sahihi Kbsa mkuu
 
Sema wengi huwa wanna pigo za kihuni anaakuliza hivyo ili aanze kukupiga vizinga kisawa sawa
Ni imani tu mmejiwekea.

Binafsi nikikutana na mtu aka-catch interest yangu (generally, that is), lazima ntamuuliza kwasababu ni sehemu ya kujua aina ya mtu nnaezungumza nae. Kwahiyo huwa nauliza, na naulizwa sana hata kwenye convo ya kwanza kabisa. Wala sijawahi kuchukulia vibaya kana kwamba huyo mtu ananichunguza zaidi ya vile inapaswa.
 
Back
Top Bottom