Hili swali kutoka kwa wanawake huwa limekaa kimtego Sana

Ni imani tu mmejiwekea.

Binafsi nikikutana na mtu aka-catch interest yangu (generally, that is), lazima ntamuuliza kwasababu ni sehemu ya kujua aina ya mtu nnaezungumza nae. Kwahiyo huwa nauliza, na naulizwa sana hata kwenye convo ya kwanza kabisa. Wala sijawahi kuchukulia vibaya kana kwamba huyo mtu ananichunguza zaidi ya vile inapaswa.
Binafsi siulizi, ila sioni tatizo mtu kuuliza au kuniuliza!

Ni part ya kufahamiana, mi naweza nisiulize ila eventually nitafahamu tu.
 
Salute Comrades!

Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.

Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.

Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"

Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.

Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.

Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono

Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Sasa pana mtego gani hapo Mkuu?
Mbona swali la kawaida sana aiseeh! Mnafanya kumtongoza mwanamke lionekane jambo ziiiito.
Kumbe ni simple like that na wengine hawana mpango hata wa kujua hizo kazi zenu.
Relax
Kutongoza ni sanaa.
 
Ninachojishughulisha nacho ni private hivyo haipaswi kuwa openly kila stranger... Hadi tujuane na nikuamini kwamba unafaa kuwa msiri wangu, By the way ushaniudhi kwani unauzaje?
 
Salute Comrades!

Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.

Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.

Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"

Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.

Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.

Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂

Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Sasa mbona hiyo mifano yako hao watu kazi zao hazina maokoto ya maana!
 
Kwanza kabisa hilo swali lina kera sana, lina punguza nguvu ya muendelezo wa kutongoza, hata kama mwanaume ulikuwa na lengo la kuchukua kabisa jiko mpango una badilika hapo hapo
 
Back
Top Bottom