Hili la miaka nane ya uchakavu magari ni kuwakomoa wananchi na kulinda barabara zisizo na Viwango

Hawajaangalia pia backward na foward linkages ya kuleta magari mengi bongo

Kuna watu wataathirika sana kibiashara wanapolimit haya mambo mf, wauza mafuta, spares, garage

Na mbaya zaidi hakuna kiwanda hata kimoja bongo cha magari useme tutakimbilia huko
Tatizo lao wao ni kodi kwanza, reinforcement second na mazingira ya soko ndio kitu cha mwisho akilini mwao.

Ajali kwa kweli zimezidi especially za mabasi na malori na mengi ukiyaangalia yakiwa katika mazingira ya ajali sanasana malori unakuta wheel axles chali zimegeuka upande mwengine kabisa. Lakini hii aina maana wote wenye malori ya miaka hiyo yapo katika hali sawa.

Ndio maana ukaguzi wa ubora wa gari kuwa barabarani ni kitu muhimu sana kushinda sera ya kukazania magari mapya, kwanza kukaguliwa unalipa hela serikarini (ongezeko la pato, considering wingi wa magari hili linaweza wapa nafasi ya kushusha ushuru wa uagizaji magari makubwa na mazuri kama kila gari ndani ya tanzania litakaguliwa kwa helfu ishirini tu kwa mwaka au mengine kupata ukaguzi kila baada ya miezi sita kutoakana na umri ulioenda sana) na hivyo kuwa na annual income allocated to road infrastructure.

Iwapo gari likifeli linanyimwa kibali cha kutembea mpaka marekebisho kadhaa yafanyike the idea behind this ni kulinda umuhimu wa watu kumiliki magari kwa matumizi yao muhimu ya kikazi ama kifamilia na kumiliki kulingana na uwezo wao.

Halikadhalika itapanua service sector ya magari both repairing and parts replacement, in the long run wale wenye magari ambayo spare zake hata ulaya azipatikani au ni tabu kuzipata wenyewe watabadilisha tabia ya kuagiza magari hayo au kuendelea kuyatumia yakisha fail test kutokana na ugumua wa parts replacement na sheria za ukaguzi zinavyotaka ndio mwanzo wa kuwa na scrap yard zetu za magari maana parts zingine ambazo bado imara zinaweza kwenda kwenye magari mengine.

Kwakuwa serikari inakusanya mapato mapya ya ukaguzi, wafanya biashara wa repair wanalipa kodi, hawana sababu ya kuwekea vat kubwa kwenye import parts hila mfanya biashara wa parts alipe kodi za kibiashara therefore kukuza na kulea repair industry.

Wakiongeza na kushusha ushuru wa magari kama hayo ma X5 et al baada ya miaka michache yataingia kwawingi kitasawazisha kipato ambacho ni sawa na sasa kama si zaidi (ukiongezea na kodi zilizojitokeza za ushuru wa makampuni yaliyotokana na sera na charge za ukaguzi) faida zingine ni kuwa barabara zitajaza magari yenye ubora zaidi.

Vitu hivi vinahitaji majadiliano na wadau wa sehemu husika, wachumi na asasi za kiraia sisi waafrika bado kuelewa kama chanzo cha policy endelevu ni kushirikiana na wadau ili serikari isi loose kipato, sector ikuwe na kutoa ajira na jamii ipate inachotaka.

Mwisho wa siku kupunguza ajali licha ya hizo sheria ni road regulation, imagine umeendesha masaa kadhaa kwenye giza out of the blue jamaa anakuja na full light na wewe huko speed halafu labda umechoka that situation adds up to driving error, ni hivi regulations za barabarani pia ni tatizo.
 
Wanataka kupunguza msongamano wa magari Dar!!!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app

Kivipi mkuu,, si wametujengea Mwendo kasi kuondoa foleni??? Sasa hili linakujaje??
au ndio hawajiamini???
 
Kivipi mkuu,, si wametujengea Mwendo kasi kuondoa foleni??? Sasa hili linakujaje??
au ndio hawajiamini???

Chezea serikali wewe, wanajiita "professional problem solvers" tuna kazi kweli sisi Watanzania!!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Tatizo lao wao ni kodi kwanza, reinforcement second na mazingira ya soko ndio kitu cha mwisho akilini mwao.

Ajali kwa kweli zimezidi especially za mabasi na malori na mengi ukiyaangalia yakiwa katika mazingira ya ajali sanasana malori unakuta wheel axles chali zimegeuka upande mwengine kabisa. Lakini hii aina maana wote wenye malori ya miaka hiyo yapo katika hali sawa.

Ndio maana ukaguzi wa ubora wa gari kuwa barabarani ni kitu muhimu sana kushinda sera ya kukazania magari mapya, kwanza kukaguliwa unalipa hela serikarini (ongezeko la pato, considering wingi wa magari hili linaweza wapa nafasi ya kushusha ushuru wa uagizaji magari makubwa na mazuri kama kila gari ndani ya tanzania litakaguliwa kwa helfu ishirini tu kwa mwaka au mengine kupata ukaguzi kila baada ya miezi sita kutoakana na umri ulioenda sana) na hivyo kuwa na annual income allocated to road infrastructure.

Iwapo gari likifeli linanyimwa kibali cha kutembea mpaka marekebisho kadhaa yafanyike the idea behind this ni kulinda umuhimu wa watu kumiliki magari kwa matumizi yao muhimu ya kikazi ama kifamilia na kumiliki kulingana na uwezo wao.

Halikadhalika itapanua service sector ya magari both repairing and parts replacement, in the long run wale wenye magari ambayo spare zake hata ulaya azipatikani au ni tabu kuzipata wenyewe watabadilisha tabia ya kuagiza magari hayo au kuendelea kuyatumia yakisha fail test kutokana na ugumua wa parts replacement na sheria za ukaguzi zinavyotaka ndio mwanzo wa kuwa na scrap yard zetu za magari maana parts zingine ambazo bado imara zinaweza kwenda kwenye magari mengine.

Kwakuwa serikari inakusanya mapato mapya ya ukaguzi, wafanya biashara wa repair wanalipa kodi, hawana sababu ya kuwekea vat kubwa kwenye import parts hila mfanya biashara wa parts alipe kodi za kibiashara therefore kukuza na kulea repair industry.

Wakiongeza na kushusha ushuru wa magari kama hayo ma X5 et al baada ya miaka michache yataingia kwawingi kitasawazisha kipato ambacho ni sawa na sasa kama si zaidi (ukiongezea na kodi zilizojitokeza za ushuru wa makampuni yaliyotokana na sera na charge za ukaguzi) faida zingine ni kuwa barabara zitajaza magari yenye ubora zaidi.

Vitu hivi vinahitaji majadiliano na wadau wa sehemu husika, wachumi na asasi za kiraia sisi waafrika bado kuelewa kama chanzo cha policy endelevu ni kushirikiana na wadau ili serikari isi loose kipato, sector ikuwe na kutoa ajira na jamii ipate inachotaka.

Mwisho wa siku kupunguza ajali licha ya hizo sheria ni road regulation, imagine umeendesha masaa kadhaa kwenye giza out of the blue jamaa anakuja na full light na wewe huko speed halafu labda umechoka that situation adds up to driving error, ni hivi regulations za barabarani pia ni tatizo.

Anaewashauri serikali ni kimeo
 
Jana kuna mbunge mmoja kajaribu kuelezea kuwa ajali ni uzembe wa madereva na miundombinu mibovu. Sijui hawa viziwi na vipofu wa serikali ya ccm kama walimwelewa au ndo kama yalivo sikuzote?
 
Hivi haya majitu yanaamini kuzuia watu wasinunue magari ndo maendeleo au ushirikina? Gari ni anasa au device ya kurahisisha kazi? Huyu sada aweke takwimu zinazoonesha kuwa magari ya zaidi ya miaka kumi ndohusababisha ajali basi. Au ndo hizihizi akili zakukariri?
 
Ndio maana mi naona kuna opportunity cost hapa inapotea ya kuleta magari imara kutokana na kodi za sasa. Serikari inabidi ikae na wadau wa magari ifanye tathmini ya uwezo wa soko wa kununua magari fulani iangalie na bei za hayo magari nchi za nje walenge wingi wa hayo hili kutopoteza pato, vinginevyo takataka zinazotakiwa kwenda scrap kuja bongo azikwepeki kutokana sera mbovu za kodi kama nia ni kulenga kuingiza magari yenye ubora.

Hawajaangalia pia backward na foward linkages ya kuleta magari mengi bongo

Kuna watu wataathirika sana kibiashara wanapolimit haya mambo mf, wauza mafuta, spares, garage

Na mbaya zaidi hakuna kiwanda hata kimoja bongo cha magari useme tutakimbilia huko[/QUOTE]

Ongeza na MV license, insurance na driver's license fees.
 
Hawajaangalia pia backward na foward linkages ya kuleta magari mengi bongo

Kuna watu wataathirika sana kibiashara wanapolimit haya mambo mf, wauza mafuta, spares, garage

Na mbaya zaidi hakuna kiwanda hata kimoja bongo cha magari useme tutakimbilia huko

Ongeza na MV license, insurance na driver's license fees.[/QUOTE]

Warudi mezani kujipanga upya
 
Serikali ifanye uchakavu miaka miwili tu. Na yaliyopo yakamatwe yayeyushwe kwenye matanuru.
 
Wabunge mnaendelea kulinyamazia hili kwa sababu mnanunuliwa magari mapya kwa pesa zetu walala hoi au?
 
Serikali ifanye uchakavu miaka miwili tu. Na yaliyopo yakamatwe yayeyushwe kwenye matanuru.
Una hakiyya kusema hivi kwa vile baba yako/mjomba/shangazi walikwapua fedha serikalini na sasa mna pesa. Wajali watz wenzako. Too selfish.
 
Ongeza na MV license, insurance na driver's license fees.

Warudi mezani kujipanga upya[/QUOTE]

Hap mkuu umenena. Na kwa hili nashauri madakatari watushauri tuache pombe tuone watakula kodi ya vichwa vao
 
Moderator why hide this thread? What makes you fill annoyed? Let people and especially poor people talk about this issue. Bribed?
 
Serikali ifanye uchakavu miaka miwili tu. Na yaliyopo yakamatwe yayeyushwe kwenye matanuru.

Kwa vicent alivyoiba babako au shangazi ako vinakufanya uongee pumba? Wakusaidie uende shule walau ujue uchungu wa maisha.
 
Back
Top Bottom