Hili la Mawaziri Kutaja Jina la Mbunge Mmoja Mmoja Waliochangia Hoja Lina Mantiki Yoyote?

Wakuu,

Kama kuna jambo linalonikera mjengoni wakati wa kikao cha bajeti ni pale mawaziri wanapoamua kutaja majina ya wabunge mmoja mmoja waliochangia hoja yake. Mawaziri takribani nusu ya muda aliopewa kutaja majina ya wabunge na muda mfupi unaobaki eti ndiyo anajibu hoja zao. Tafadhali wajuzi watuelimishe hapa, hivi kweli tabia hiyo ina maana yoyote? Mimi naona kama ni kupoteza muda tu.
Yote hiyo ni kutokujiamini na kubembeleza wabuge kwa lugha laini kama rushwa ya maneno maana sheria za rushwa Tanzania ni laini mno, hivyo wanatumia lugha za ghiriba wapitishe budget zao zisizo kizi malenge kuleta maendeleo ya nchi!!! We are not serious with what we are supposed to do in eradication of poverty through our system of leadership!!!

 
pia ni njia ya kuthamin mchango wa mp husika,juu ya swal lake! na pia n njia ya kuchanganua swal gan limeulizwa na mpgan
 
Wakuu,

Kama kuna jambo linalonikera mjengoni wakati wa kikao cha bajeti ni pale mawaziri wanapoamua kutaja majina ya wabunge mmoja mmoja waliochangia hoja yake. Mawaziri takribani nusu ya muda aliopewa kutaja majina ya wabunge na muda mfupi unaobaki eti ndiyo anajibu hoja zao. Tafadhali wajuzi watuelimishe hapa, hivi kweli tabia hiyo ina maana yoyote? Mimi naona kama ni kupoteza muda tu.

Bunge la uingereza hawafanyi huu UDHAIFU sijui mabunge mengine
 
Ndugu yangu hilo ni suala la kanuni zinamtaka mtoa hoja kuwatambua kwa kuwataja majina wachangiaji. Ni muendelezo wa kanuni tulizoachiwa na mzee 6. Kanuni nyingi mnazozipigia kelele kuwa ni mbovu ndio matunda ya mzee 6 hayo. Na mama makinda mnamfahamu ni mtu wa kanuni sana. Ushauri wangu hakuna haja ya kutaja majina!



:A S-baby:
 
Back
Top Bottom