Hili la Igunga ni doa...!

Katika kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga unaotegemea kufanyika hivi karibuni, kumepelekea kuwepo mikakati mbalimbali inayofanywa na vyama mbalimbali vya siasa katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na kuwa chini ya chama husika.

Kutokana na hulka hiyo CCM imejikuta ikipanga mikakati mbalimbali ya kuhakikisha jimbo hili haliendi kwa wapinzani,na vyama vya upinzani vikiongozwa na CUF na CDM wakijaribu kuling'oa jimbo hili kutoka kwa chama tawala. hivi karibuni nimepata taharifa kuwa kuna mkakati wa chama cha CDM kuleta vijana mia nane (800) ili kusaidia kampeni zinazotarajia kuanza hivi punde ambapo mpaka jana vijana takribani mia tatu walikuwa tayari wameshaingia maeneo mbalimbali ya jimbo hili.

Lakini chenye kutia shaka na doa kubwa ni mkakati halisi wa utendaji kazi wa vijana hao ambao kila mmoja anapokea posho ya shilingi elfu thelasini (30,000) kwa siku, mkakati wao kwa namna nilivyopata kuufahamu kupitia baadhi ya wapasha habari hii ni kuwa haupo kidemokrasia wala hauna nia ya kufuata falsafa ya utii wa sheria na utawala bora kwani mkakati huo unajumuisha kushusha bendera za ccm wakati wa usiku,kuchochea makundi rika wakilengwa vijana katika kuhamasisha vurugu kipindi cha kampeni kwa matumizi ya mabango yenye maneno ya kashfa na matusi ambayo yanaandaliwa hivi sasa, mikakati hii na mingineyo kama hii ni doa katika igunga.

Napenda kutoa angalizo kuwa siasa si uadui wala vurugu, tutumie mikakati inayofuata utaratibu wa kisheria na demokrasia katika mchakato huu wa kutupatia wanaigunga kiongozi bora tumtakae...!

kwahiyo ulichokiandika wale wanakijiji kule IGUNGA wanakiona!?
 
Katika kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga unaotegemea kufanyika hivi karibuni, kumepelekea kuwepo mikakati mbalimbali inayofanywa na vyama mbalimbali vya siasa katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na kuwa chini ya chama husika.

Kutokana na hulka hiyo CCM imejikuta ikipanga mikakati mbalimbali ya kuhakikisha jimbo hili haliendi kwa wapinzani,na vyama vya upinzani vikiongozwa na CUF na CDM wakijaribu kuling'oa jimbo hili kutoka kwa chama tawala. hivi karibuni nimepata taharifa kuwa kuna mkakati wa chama cha CDM kuleta vijana mia nane (800) ili kusaidia kampeni zinazotarajia kuanza hivi punde ambapo mpaka jana vijana takribani mia tatu walikuwa tayari wameshaingia maeneo mbalimbali ya jimbo hili.

Lakini chenye kutia shaka na doa kubwa ni mkakati halisi wa utendaji kazi wa vijana hao ambao kila mmoja anapokea posho ya shilingi elfu thelasini (30,000) kwa siku, mkakati wao kwa namna nilivyopata kuufahamu kupitia baadhi ya wapasha habari hii ni kuwa haupo kidemokrasia wala hauna nia ya kufuata falsafa ya utii wa sheria na utawala bora kwani mkakati huo unajumuisha kushusha bendera za ccm wakati wa usiku,kuchochea makundi rika wakilengwa vijana katika kuhamasisha vurugu kipindi cha kampeni kwa matumizi ya mabango yenye maneno ya kashfa na matusi ambayo yanaandaliwa hivi sasa, mikakati hii na mingineyo kama hii ni doa katika igunga.

Napenda kutoa angalizo kuwa siasa si uadui wala vurugu, tutumie mikakati inayofuata utaratibu wa kisheria na demokrasia katika mchakato huu wa kutupatia wanaigunga kiongozi bora tumtakae...!
Wanunuaji wa bendela ni CCM, pita vijiwe vyoote vya vijana wanajua hata bei ya bendela. CHADEMA hawana fedha za kununua bendela ila wenye mapenzi na wanachama wanatundika tuu. Wacha woga na unafiki washusha bendela za wenzao ni CCM huo ni mtindo wao!!!!!!!! Mkinunua vijana watatundika tena, pole saana safari hii imekula kwenu!!!!! Hao vijana wageni wamejificha wapi, kwa hiyo wanatembea usiku tuu kushusha bendela????????!!
 
Katika kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga unaotegemea kufanyika hivi karibuni, kumepelekea kuwepo mikakati mbalimbali inayofanywa na vyama mbalimbali vya siasa katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na kuwa chini ya chama husika.

Kutokana na hulka hiyo CCM imejikuta ikipanga mikakati mbalimbali ya kuhakikisha jimbo hili haliendi kwa wapinzani,na vyama vya upinzani vikiongozwa na CUF na CDM wakijaribu kuling'oa jimbo hili kutoka kwa chama tawala. hivi karibuni nimepata taharifa kuwa kuna mkakati wa chama cha CDM kuleta vijana mia nane (800) ili kusaidia kampeni zinazotarajia kuanza hivi punde ambapo mpaka jana vijana takribani mia tatu walikuwa tayari wameshaingia maeneo mbalimbali ya jimbo hili.

Lakini chenye kutia shaka na doa kubwa ni mkakati halisi wa utendaji kazi wa vijana hao ambao kila mmoja anapokea posho ya shilingi elfu thelasini (30,000) kwa siku, mkakati wao kwa namna nilivyopata kuufahamu kupitia baadhi ya wapasha habari hii ni kuwa haupo kidemokrasia wala hauna nia ya kufuata falsafa ya utii wa sheria na utawala bora kwani mkakati huo unajumuisha kushusha bendera za ccm wakati wa usiku,kuchochea makundi rika wakilengwa vijana katika kuhamasisha vurugu kipindi cha kampeni kwa matumizi ya mabango yenye maneno ya kashfa na matusi ambayo yanaandaliwa hivi sasa, mikakati hii na mingineyo kama hii ni doa katika igunga.

Napenda kutoa angalizo kuwa siasa si uadui wala vurugu, tutumie mikakati inayofuata utaratibu wa kisheria na demokrasia katika mchakato huu wa kutupatia wanaigunga kiongozi bora tumtakae...!

toa upuuzi wako hapa, ccm hatuwasamehi igunga hata waongeze polisi jimbo nzima, tumeamua na tumejipanga kulichukua, endelea kufikiri kwakutumia tumbo.

kweli ccm kila siku inaendelea kuwa na vilaza mwisho wenu umefika, na moto wa CDM mtaujua igunga
 
Ccm magamba km mngejua muda wa kuandika au kutoa maoni hapa jf hamna maana mna ahadi 90 alizo zitowa baba r one hata moja bado au ilikua hewa ya ushuzi upepo ukipita harufu hakuna
 
Katika kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga unaotegemea kufanyika hivi karibuni, kumepelekea kuwepo mikakati mbalimbali inayofanywa na vyama mbalimbali vya siasa katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na kuwa chini ya chama husika.

Kutokana na hulka hiyo CCM imejikuta ikipanga mikakati mbalimbali ya kuhakikisha jimbo hili haliendi kwa wapinzani,na vyama vya upinzani vikiongozwa na CUF na CDM wakijaribu kuling'oa jimbo hili kutoka kwa chama tawala. hivi karibuni nimepata taharifa kuwa kuna mkakati wa chama cha CDM kuleta vijana mia nane (800) ili kusaidia kampeni zinazotarajia kuanza hivi punde ambapo mpaka jana vijana takribani mia tatu walikuwa tayari wameshaingia maeneo mbalimbali ya jimbo hili.

Lakini chenye kutia shaka na doa kubwa ni mkakati halisi wa utendaji kazi wa vijana hao ambao kila mmoja anapokea posho ya shilingi elfu thelasini (30,000) kwa siku, mkakati wao kwa namna nilivyopata kuufahamu kupitia baadhi ya wapasha habari hii ni kuwa haupo kidemokrasia wala hauna nia ya kufuata falsafa ya utii wa sheria na utawala bora kwani mkakati huo unajumuisha kushusha bendera za ccm wakati wa usiku,kuchochea makundi rika wakilengwa vijana katika kuhamasisha vurugu kipindi cha kampeni kwa matumizi ya mabango yenye maneno ya kashfa na matusi ambayo yanaandaliwa hivi sasa, mikakati hii na mingineyo kama hii ni doa katika igunga.

Napenda kutoa angalizo kuwa siasa si uadui wala vurugu, tutumie mikakati inayofuata utaratibu wa kisheria na demokrasia katika mchakato huu wa kutupatia wanaigunga kiongozi bora tumtakae...!

Hizo habari ni uongo, nimkakati wako na CCM kwa hofu, mbona mkakati wa CCM hujaujadili na anajulikana mkakati ni wakipuuzi wa rushwa.
 
&t
Katika kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga unaotegemea kufanyika hivi karibuni, kumepelekea kuwepo mikakati mbalimbali inayofanywa na vyama mbalimbali vya siasa katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na kuwa chini ya chama husika. <br />
<br />
Kutokana na hulka hiyo CCM imejikuta ikipanga mikakati mbalimbali ya kuhakikisha jimbo hili haliendi kwa wapinzani,na vyama vya upinzani vikiongozwa na CUF na CDM wakijaribu kuling'oa jimbo hili kutoka kwa chama tawala. hivi karibuni nimepata taharifa kuwa kuna mkakati wa chama cha CDM kuleta vijana mia nane (800) ili kusaidia kampeni zinazotarajia kuanza hivi punde ambapo mpaka jana vijana takribani mia tatu walikuwa tayari wameshaingia maeneo mbalimbali ya jimbo hili. <br /;
<br />
Lakini chenye kutia shaka na doa kubwa ni mkakati halisi wa utendaji kazi wa vijana hao ambao kila mmoja anapokea posho ya shilingi elfu thelasini (30,000) kwa siku, mkakati wao kwa namna nilivyopata kuufahamu kupitia baadhi ya wapasha habari hii ni kuwa haupo kidemokrasia wala hauna nia ya kufuata falsafa ya utii wa sheria na utawala bora kwani mkakati huo unajumuisha kushusha bendera za ccm wakati wa usiku,kuchochea makundi rika wakilengwa vijana katika kuhamasisha vurugu kipindi cha kampeni kwa matumizi ya mabango yenye maneno ya kashfa na matusi ambayo yanaandaliwa hivi sasa, mikakati hii na mingineyo kama hii ni doa katika igunga. <br />
<br />
Napenda kutoa angalizo kuwa siasa si uadui wala vurugu, tutumie mikakati inayofuata utaratibu wa kisheria na demokrasia katika mchakato huu wa kutupatia wanaigunga kiongozi bora tumtakae...!
<br />
<br />

sule, let me guess, you might be under 30, inexperienced with tz's politics and Pwani's UVCCM staunch member.
Pole mdogo wangu.
 
Katika kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga unaotegemea kufanyika hivi karibuni, kumepelekea kuwepo mikakati mbalimbali inayofanywa na vyama mbalimbali vya siasa katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na kuwa chini ya chama husika.

Kutokana na hulka hiyo CCM imejikuta ikipanga mikakati mbalimbali ya kuhakikisha jimbo hili haliendi kwa wapinzani,na vyama vya upinzani vikiongozwa na CUF na CDM wakijaribu kuling'oa jimbo hili kutoka kwa chama tawala. hivi karibuni nimepata taharifa kuwa kuna mkakati wa chama cha CDM kuleta vijana mia nane (800) ili kusaidia kampeni zinazotarajia kuanza hivi punde ambapo mpaka jana vijana takribani mia tatu walikuwa tayari wameshaingia maeneo mbalimbali ya jimbo hili.

Lakini chenye kutia shaka na doa kubwa ni mkakati halisi wa utendaji kazi wa vijana hao ambao kila mmoja anapokea posho ya shilingi elfu thelasini (30,000) kwa siku, mkakati wao kwa namna nilivyopata kuufahamu kupitia baadhi ya wapasha habari hii ni kuwa haupo kidemokrasia wala hauna nia ya kufuata falsafa ya utii wa sheria na utawala bora kwani mkakati huo unajumuisha kushusha bendera za ccm wakati wa usiku,kuchochea makundi rika wakilengwa vijana katika kuhamasisha vurugu kipindi cha kampeni kwa matumizi ya mabango yenye maneno ya kashfa na matusi ambayo yanaandaliwa hivi sasa, mikakati hii na mingineyo kama hii ni doa katika igunga.

Napenda kutoa angalizo kuwa siasa si uadui wala vurugu, tutumie mikakati inayofuata utaratibu wa kisheria na demokrasia katika mchakato huu wa kutupatia wanaigunga kiongozi bora tumtakae...!

CHADEMA siyo kama hicho chama chenu kama malaya aliyekosa soko. vijana wanajitolea wenyewe kutoka pande zote za nchi kwa gharama zao wenyewe. watu wamechoka na upumbavu wenu. nenda karudi kwa aliyekutuma humu kuwa umekosea njia.

Ficha upumbavu wako, usifiche Hekima yako. ushauri wa invisible huo.
Suley
Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 24th August 2010
Posts : 51
Rep Power : 22
 
Washusha bendera ni ccm nakumbuka siku dogo Nape alipoenda Singida ccm walifanya vurugu za Ludhiana bendera na yeye alikuwa akichekelea kuzipokea bendera za chadema.
 
Katika kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga unaotegemea kufanyika hivi karibuni, kumepelekea kuwepo mikakati mbalimbali inayofanywa na vyama mbalimbali vya siasa katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na kuwa chini ya chama husika.

Kutokana na hulka hiyo CCM imejikuta ikipanga mikakati mbalimbali ya kuhakikisha jimbo hili haliendi kwa wapinzani,na vyama vya upinzani vikiongozwa na CUF na CDM wakijaribu kuling'oa jimbo hili kutoka kwa chama tawala. hivi karibuni nimepata taharifa kuwa kuna mkakati wa chama cha CDM kuleta vijana mia nane (800) ili kusaidia kampeni zinazotarajia kuanza hivi punde ambapo mpaka jana vijana takribani mia tatu walikuwa tayari wameshaingia maeneo mbalimbali ya jimbo hili.

Lakini chenye kutia shaka na doa kubwa ni mkakati halisi wa utendaji kazi wa vijana hao ambao kila mmoja anapokea posho ya shilingi elfu thelasini (30,000) kwa siku, mkakati wao kwa namna nilivyopata kuufahamu kupitia baadhi ya wapasha habari hii ni kuwa haupo kidemokrasia wala hauna nia ya kufuata falsafa ya utii wa sheria na utawala bora kwani mkakati huo unajumuisha kushusha bendera za ccm wakati wa usiku,kuchochea makundi rika wakilengwa vijana katika kuhamasisha vurugu kipindi cha kampeni kwa matumizi ya mabango yenye maneno ya kashfa na matusi ambayo yanaandaliwa hivi sasa, mikakati hii na mingineyo kama hii ni doa katika igunga.

Napenda kutoa angalizo kuwa siasa si uadui wala vurugu, tutumie mikakati inayofuata utaratibu wa kisheria na demokrasia katika mchakato huu wa kutupatia wanaigunga kiongozi bora tumtakae...!
Mheshimiwa Mwanagama naona hii huku JF si mahali pake embu ipeleke kule Mapinduzi Forum inapata positive Responce kwani ndo wanatakiwa kusikia hizo porojo zenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom