mtoto wa kuku sku nyingine kabla ya kutoa malipo kwenye eneo ambalo unaona kuna utata ni vyema ukauliza mamlaka inayohusika badala ya kuja jukwaa hili. kuomba msaada.Kwa taarifa yako hiyo si stakabadhi ila ni. hati inayokujulisha kosa lilitendwa kinyume na sheria ya usalama barabarani na. hati hiyo inatambulika kisheria kama ilivyotangazwa ktk gazeti la serkali no. 257 la tareha 26/8/2011. ww umeona 2011 ukadhani ndo mwaka. wa kuchapisha kitabu hicho. Mzee huwezi elewa kila kitu duniani.Sehemu ambayo huelewi uliza uelekezwe badala ya kuja jaza server bure.Hii ni pamoja na waliokupa support kwa post yako isiyo na mashiko.
.
.