Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,784
- 5,288
Unalipia mtungi kwa 40,000 halafu haupewi maana yake ni nini? Ndio yale yale ya kulipia service charges za umeme kila mwezi,Wabunge wetu wanadai wanatupigania kumbe na wao ni @wabunge njaa tu hawapo kupigania maslahi ya wananchi,kwanini wasitoe hoja ya kufuta hizo kodi kero za wananchi? #Zamuyako2015