MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,388
- 4,662
Natumaini ni wazima kabisa wanajamvi,
Leo katika pitapita yangu nikielekea kwenye mihangaiko yangu ya kujitafutia riziki, nilisimamishwa na Askari wa barabarani maeneo ya Argentina pale Manzese. Lakini baada ya kukagua gari langu aliniambia ananiandikia kwa kuwa sina kifaa cha kuzimia moto ambacho kimesajiliwa na zimamoto, nikamwonyesha kifaa anachosema sina lakini akaniambia kilichokuja na gari hakitakiwi..
Lakini cha kushangaza, Risiti hiyo niliyoandikiwa inasema hiyo risiti ni ya mwaka 2011 na kiasi nilicholipa kwa kosa ni 30,000/=...
Swali la kujiuliza, inawezekana kikosi cha usalama barabarani wakatumia kitabu cha risiti cha zamani ? Au ni zoezi lao la kuwaibia wananchi?
Nawasilisha!
Leo katika pitapita yangu nikielekea kwenye mihangaiko yangu ya kujitafutia riziki, nilisimamishwa na Askari wa barabarani maeneo ya Argentina pale Manzese. Lakini baada ya kukagua gari langu aliniambia ananiandikia kwa kuwa sina kifaa cha kuzimia moto ambacho kimesajiliwa na zimamoto, nikamwonyesha kifaa anachosema sina lakini akaniambia kilichokuja na gari hakitakiwi..
Lakini cha kushangaza, Risiti hiyo niliyoandikiwa inasema hiyo risiti ni ya mwaka 2011 na kiasi nilicholipa kwa kosa ni 30,000/=...
Swali la kujiuliza, inawezekana kikosi cha usalama barabarani wakatumia kitabu cha risiti cha zamani ? Au ni zoezi lao la kuwaibia wananchi?
Nawasilisha!