Likasu
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 843
- 405
Sheria ya ndoa 1971 ibara ya 129(1) " ni jukumu la mwanaume kutunza watoto wake" sasa ktk ulimwengu wa usawa bila kuangalia vipato vya wanandoa kwani pia mwanamke anaweza akawa na kipato zaidi ya mwanaume au mwanamke akawa ndo mwenye kipato mwanaume akawa hana kipato lakini jukumu la kutunza mtoto ni la mwanaume tu. Yaani mwanamke akimtunza mtoto ni kama anasaidia tu sio jukumu laje. Jee hii ni usawa wa kijinsia ?