Mtaka yote kwa pupa.......!!
Why ppo don't be happy with what they have!!working hard 4 what you want..
Ndege wajanja hunaswa na tundu bovu. Why a person is ready to despise his\her own dignity just for a position which is not even permanent?
lakini huwa nasikia haka kamchezo ukishakaanza ni vigumu sana kukiacha!Umejuta na umeomba msamaha kwa yeye alie mkuu.Ujue umesamehewa,usiangalie nyuma yote yamepita.Anza maisha yako upya kabisa mpz.
Mwanamke ndugu.huyu mwanamke au mwanaume?ila ndo ukubwa kaka/dada
Im still puzzled!Aaah! The drama queen! I miss ur dramas unajua! Pole sana.
NazJaz,nothing judgmental lakini nadhani una moral issues ambazo unahitaji kuzishughulikia. Kwangu mie hiyo issue ya kuwa-tigo-ed sio primary. Tatizo langu ni kukubali kulalwa na mtu ili upate cheo kazini. Mwisho wa siku ni ubatili na kujilisha upepo. Trust me,muda mfupi ujao kila mtu hapo kazini atajua somehow, itakuondolea confidence ya kufanya kazi na huenda ukajikuta una-resign.
Wewe ndo wa kubadili wanaume kwa sababu ya shopping na outings za mafia na zenj na mwishowe kujambiwa ovyo, u need to bid them goodbye as a group. Angalia usijeangukia kubaya, na emotional issues ni ngumu kudeal nazo kuliko hiv.
Aisee, tafuta msaada wa kiroho kwanza.
kumbe we ni mfuatiliaji mzuri wa tamthilia ya nazjaz!Aaah! The drama queen! I miss ur dramas unajua! Pole sana.
NazJaz,nothing judgmental lakini nadhani una moral issues ambazo unahitaji kuzishughulikia. Kwangu mie hiyo issue ya kuwa-tigo-ed sio primary. Tatizo langu ni kukubali kulalwa na mtu ili upate cheo kazini. Mwisho wa siku ni ubatili na kujilisha upepo. Trust me,muda mfupi ujao kila mtu hapo kazini atajua somehow, itakuondolea confidence ya kufanya kazi na huenda ukajikuta una-resign.
Wewe ndo wa kubadili wanaume kwa sababu ya shopping na outings za mafia na zenj na mwishowe kujambiwa ovyo, u need to bid them goodbye as a group. Angalia usijeangukia kubaya, na emotional issues ni ngumu kudeal nazo kuliko hiv.
Aisee, tafuta msaada wa kiroho kwanza.