Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Duh! Pole binti just try to reconsile na Mungu wako.
Am speechless, haya mambo wengine tunayaongea kama hadithi, napoona kweli its happenning nakosa hata cha kusema.
At least umesema itakusaidia, lakini rudi kwa Mungu wako itasaidia zaidi, sisi binadamu ni nani hata tukuhukumu?
Hahukumiwi hapa. Kaja kuungama akitaka kusaidiwa. Msaada unaanzia na ukosoaji ili wengine nao wapate fundisho eti!
Ingekuwa hukmu kama tungemuona anakula bata halafu tukaanza kumsengenya na kumnyooshea kidole wakati alitumia rasilimali zake kupata alichopata.