Msi waterekeze kama Urio alivo sema.
Ila huyo kama sii wa greenguards hata sijui🤔.
Kweli kabisa.Ila huyo kama sii wa greenguards hata sijui🤔.
Acha upumbavu, shirikisha uelevu wako hawa ni watanzania, ex members wa tpdf na wana haki ya kwenda popote kutafuta riziki yao,na elewa jwtz ni la watanzania na linawajibika kwetu sio Chama dola pekee, endelea kuwa mwamba wa kulalama kwenye keyboard...halafu mkikamatwa tena mnakuja kulialia hapa..hivi intelligence yenu inafanya kazi sawasawa? Mnaajiri kweli JWTZ kuwa walinzi wenu?
Usanii mwingine bwana
Kwanza sema unajua kama yupo aliyemiminiwa risasi na je unajua kama yupo aliyevunjwa mguu na wahuni, yote hiyo unajua iliwezekanaje, ukija na majibu huenda ukawa umeelewa kwani hali iko au imekuwa hivi....halafu mkikamatwa tena mnakuja kulialia hapa..hivi intelligence yenu inafanya kazi sawasawa? Mnaajiri kweli JWTZ kuwa walinzi wenu?
Mungu ibariki CHADEMA
Pia usisahau kutuambia matendo yenu ya uonevu Kila mara mnamchokoza nani?Naona wanachokoza jeshi