MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 2,539
- 6,295
Ndugu zanguni hamjambo?
Eti mnisaidie mimi ndugu yenu nikimuwaza mtu au kumfikilia kwa siku nzima basi lazima atapiga simu kwangu au kama hana namba yangu ni lazima ataitafuta kunijulia hali.
Yaani leo nikiwa niko katika harakati zangu nikamuwaza yeyote lazima kuna muda hii hali itajirudia tena akilini basi lazima nikae karibu na simu yangu maana lazima mlengwa atanitafuta.
Je, hii ni nini?
Nawakaribisha wajuzi mbalimbali wa mambo kutoka kada ya uchawi, unajimu na fikira mnyambuliko wa dunia ya kiza.
Ahsanteni.
Eti mnisaidie mimi ndugu yenu nikimuwaza mtu au kumfikilia kwa siku nzima basi lazima atapiga simu kwangu au kama hana namba yangu ni lazima ataitafuta kunijulia hali.
Yaani leo nikiwa niko katika harakati zangu nikamuwaza yeyote lazima kuna muda hii hali itajirudia tena akilini basi lazima nikae karibu na simu yangu maana lazima mlengwa atanitafuta.
Je, hii ni nini?
Nawakaribisha wajuzi mbalimbali wa mambo kutoka kada ya uchawi, unajimu na fikira mnyambuliko wa dunia ya kiza.
Ahsanteni.