Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
- Thread starter
- #41
mamii, jifunze kumuamini mwenzio na kumuamini Mungu! bwana asipoulinda mji waulindao wakesha bure.niliona mdada akiachika kwa sababu ya kum-comfront kila mtu kuwa ana-affair na mumewe (including mama,bibi,mama wadogo na binamu za mumewe!). its an obbssession, nt a good thing.unahitaji sababu za kutosha kumshuku mtu.maisha yanakuwa marahisi,unafurahia mahusiano, na utavuka daraja utakapokutana nalo (labda halipo, au liko kama la mkapa unapita na lori speed 200!)
</p>
<p> </p>
Sijui kama umenielewa sio kwamba namshuku inatokea tu unasikia hivyo but akimaliza kuongea ama kuondokana nae yanakwisha hapo hapo si kwamba naendelea nayo hapana its just like that ndo maana nikasema si naona wivu anyway naweza kusema sipendi