Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
kwa vile hodi ya chooni sio ya sauti ni kugonga tu mlango,na aliye ndani nae anagonga mlango (kwa choo cha uswazi,kidogo kama sanduku), kama huufikii mlango unatoa kakikohozi ka kizushi tu.kama nimepatia unipe zawadi,plz
King'asti mambo?:becky::becky:
Unamchokonoa babu?