Mimi mke wangu akisalimiwasalimiwa na watu nafurahi sana maana najua ni kitu na box!.. ha ha haaa!Ha ha ha haya bana nafata ushauri wako
Mimi mke wangu akisalimiwasalimiwa na watu nafurahi sana maana najua ni kitu na box!.. ha ha haaa!
Hata akibadilishana namba za simu na mtu, ndio kwanza namsubiri kwa pozi zote!