St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Kwa mtindo huu tutashuhudia wengi sana wakizeekea kwa wazazi wao,na mwisho wa siku tutawaona mitandaoni,Jamani mimi natafuta japo wa kunizalisha tu na mtoto nitalea mwenyewe.....
bili hiyo utalipa wewe?? watu tunataka vitu spontaneous..instantaneous..sio kila mwanamke nimtakaye anataka ela kama wewe..Nyie ndo basi kabisa hata hamjielewi kwanini mnaishi! Kama vipi uwe unaweka na bill ya mwezi mzima kabisa pale Ohio ili usiwe unasumbuka!
Bora mfumo dume kuliko huu mfumo mnaopigia kelele....
sio 'mti mnene'?? au vyote viwili??wadada nyie kweli pasua kichwa.Pesa ndio kila kitu mazee.
mtazamo wa kupenda pesa hauna matatizo yoyote kwangu, maana kaa nilivosema, nimeshaeka strategy / survival skills ktk any situation.Na nyie mjifunze kuheshimu mitazamo ya wenzenu!
kwani ni lazima ukubaliwe au umefanya ni deni hilo.kuna kinadada wengine wanakela kwel kweli mimi nakubembeleza unikubalie ombi langu alafu we unaniuliza elimu yangu inamaa mi nimekuja kukuomba kazi au? Hii ilinitokea juzi
Hey Kimbweka! Za siku? it's been a while...Wa vyuo vikuu na vyuo vidogo dada...!!
Sasa hii avatar ya spanking ndio aje tena?:whip:mtazamo wa kupenda pesa hauna matatizo yoyote kwangu, maana kaa nilivosema, nimeshaeka strategy / survival skills ktk any situation.
sio 'mti mnene'?? au vyote viwili??wadada nyie kweli pasua kichwa.
Hey Kimbweka! Za siku? it's been a while...
Kwa hiyo kua na dushelele kaa ya kupopolea maembe na pesa kaa za mashetani ndio kusubiria meli waterport eeh??Mti mnene bila pesa ni sawa na kusubiria Meli Airport.
ile avatar ishakua zilipendwa..Sasa hii avatar ya spanking ndio aje tena?:whip:
Mi nilikua najipendea ile yetu ya "illunimatis":rockon:
baada ya kuusoma unaeza kuusimulia umma huu??lolMi mzima bukheir, alhamdulillah!
Nimejaribu kusoma huo ujumbe
Namwita somo wangu, AshaDii...
Nae aje asome, she is a fan. lol
Mi mzima bukheir, alhamdulillah!
Nimejaribu kusoma huo ujumbe
Namwita somo wangu, AshaDii...
Nae aje asome, she is a fan. lol
Kwa hiyo kua na dushelele kaa ya kupopolea maembe na pesa kaa za mashetani ndio kusubiria meli waterport eeh??
tatizo hivi vitu huwaga hapewagi mtu mmoja.. ndo mana mwatakiwa mjiulize 'tupo wangapi"??Abhahvari Ndo Hiyo.
Unauliza Chawa Kichwani?
Pwele,pwelembe,
Fomisha mapembe.