Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
mie nlikataliwa kwa lugha kali sana baada ya kuenekana mvaa misuli / kanzu na makubazi, kitambo chake baada ya kuonekana nasukuma ndinga sa ivi napigiwa simu sio mie tena kuhangaika..wanawake wa kibongo wako vere stratejiki!bora ww umeulizwa elimu, mwenzako niliulizwa nina kiasi gani benki?? Wakati me naunga unga pesa zenyewe kwene M-pesa
ujanja ni kuwasapraizi na kuwatumilia tu..