Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,948
- 32,205
tatizo hivi vitu huwaga hapewagi mtu mmoja.. ndo mana mwatakiwa mjiulize 'tupo wangapi"??
hata mie nkiwa na hela lazima niwapange sana maana sinajua hamna mapenzi ya kweli, mnafata faranga zangu?? kwa hiyo ni trade-off tu.
Yote Maisha na Jogoo hafi kwa Utitiri,
wala Mbwa hafi akiona Ufuko.
Tutakutana kwa Sir God one day yes.
Ndo mana cku hzi Mkimwaga mboga Sie tunamwaga ugali.