raster kipara
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 218
- 43
Punguza hasira ngugu ebu jiulize huko kooote umefanya mangapi mazuri na pia umeokoa vingapi ambavyo visingeli kuwepo! Nina mengi sn ya kusema ila tambua uwepo wako hp duniani kuna sababu..
Kikubwa ni kama dogoo anasoma na anadhamira hiyo kweli bs yatosha ndilo jambo kubwa sn.
Hawa mama zetu ndivyo walivyo 75% ndio ukweli wenyewe bwana
Faraja utaziona baadae huyu bado anasoma" ni hayo tuu.
I see me!!
Kikubwa ni kama dogoo anasoma na anadhamira hiyo kweli bs yatosha ndilo jambo kubwa sn.
Hawa mama zetu ndivyo walivyo 75% ndio ukweli wenyewe bwana
Faraja utaziona baadae huyu bado anasoma" ni hayo tuu.
I see me!!