bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,016
- 4,961
Kwanini unapenda kununua?Mimi ni mnunuzi mzuri sana wa huduma hii....Mchangiaji wa hapo juu anakupotosha(Kijana Msomali) ,Makahaba wanaouza Jolly, Qbqr, Masaki...wote wanatoka uswahilini na sio mitaa ya huko.....Na ukiona wasichana wa maeneo hayo wako Java, Mafia Lounge...etc mara nyingi wanakuwa na Maboyfriend zao au wako kistarehe na sio kujiuza