Maliasili
Member
- Oct 21, 2010
- 44
- 17
Ni kweli, pale Ujerumani kuna stripping clubs katika street ya makahaba mashuhuri na mashoga maarufu. Inafanyika kwa sababu sisi wanaume tunawachukua na tunawahitaji... Ni kama iliyo biashara ya utumwa tu, difference ni uwa after kupewa mambo kila mtu anachukua time yake.
Jamii ina mambo na kamwe hayataisha!
Jamii ina mambo na kamwe hayataisha!
Biashara ya Ukahaba ipo dunia nzima.Tofauti tu ni viwango. mfano maeneo yake, namna inavyoendeshwa na aina ya makahaba.Kule Thailand kuna biashara kama hii ni halali kabisa inaitwa SEX TOURISM