Hii ndio Kauli ya Kocha wa Simba baada ya ushindi wa 6 kwa Buyu

Mimi huwa sipendi mambo za comparison lakini kwakua mpira unachezwa na kila mtu anaona lazima watu wafanye comparison tu. Hakuna siku kuna mtu alisema Chama ni mbovu ni mchezaji mzuri wala msikasirike kufanyiwa comparison lakini tukija kwenye uhalisia kwa sasa Chama kwa Pacome na Aziz Ki bado sana ndugu. Chama hapati namba kwa hao watu ukubali ukatae. Hao jamaa viwango vyao havina mashaka wala havichagui games tofauti na Chama.
Na hao wote wamefananishwa/wanafananishwa na Chama.
, kuna Chama m1 tyuuh Bongo, epuka matapeli.
 
Mimi huwa sipendi mambo za comparison lakini kwakua mpira unachezwa na kila mtu anaona lazima watu wafanye comparison tu. Hakuna siku kuna mtu alisema Chama ni mbovu ni mchezaji mzuri wala msikasirike kufanyiwa comparison lakini tukija kwenye uhalisia kwa sasa Chama kwa Pacome na Aziz Ki bado sana ndugu. Chama hapati namba kwa hao watu ukubali ukatae. Hao jamaa viwango vyao havina mashaka wala havichagui games tofauti na Chama.

Weeee acha izo mjomba nani wakumuweka benchi chama hapo?
 
Tunamuongelea mchezaji bora namba saba[7]wa muda wote CAF champions league jumla goli 18 kwa sasa ndiye mchezaji aliye active waliomzidi wamestaafu na wengine wako ulaya. .Juu yake yupo Bwana Samatha
Ongezaaa sautiiiiiii
 
Makolo wakikumbuka 5G na timu iliyowatumbua ipo juu kwenye msimamo wa ligi kuu, furaha yao inatumbukia nyongo🤔
kwa wanao fuatilia mpira, hizo 5 ni kama Yanga kazirudisha tu, maana alishafungwa na Simba, ila kama unaipenda yanga hupendi mpira hili huwezi kujua.
 
Katika hayo magoli, taja idadi ya magoli aliyofunga akicheza na timu kubwa au akicheza away. Chama anawika akicheza na timu ndogo na pia akiwa kwa Mkapa ila huwezi kukuta akitamba kwa timu kubwa au nje ya uwanja wa Mkapa hata siku moja na huu ndio ukweli

Team kubwa ni ipi? Kwa iyo wale galaxy wadogo?
 
Jambo la muhimu ni Tanzania tuna timu 2 kwenye robo fainali...

Sasa wakulungwa wote wa Kariakoo ni kuelekeza nguvu za ndani na nje ya uwanja kuhakikisha tunaweka timu walau moja kwenye nusu fainali...
 
Kwanza hakuna timu itapenda kuwa na wachezaji hao wote kwa pamoja kwa sababu ni high profile players. Ninachozungumza kwa sasa Chama bado akajitafute kwa Pacome na Aziz
Labda useme pakome, Aziz key big No, na Hata pakome anapaswa kucheza Kwa kiwango hiki Kwa muda mrefu ndio afikie kulinganishwa na Chama. Maana Chama kafanya makubwa Kwa zaid ya miaka 5 mfululizo. Muda mwingine tuache ushabiki tuuheshimu mpira, Kweli pakome msimu Huu kaperform kuliko Chama ila Kweli jaman Hata msimu mmoja hajamaliza alinganishwe na Chama? Mfano Kwa Sasa Halland yupo vizuri kuliko mess na Ronaldo ila haitoshi kumfananisha na Watu hao. Inabid ayafanye haya anayofanya Kwa miaka zaidi ya 7 Kama walivyofanya wenzake ndio afananishwe. Yupo wap Neymar na mbape si wote walianza vizuri.

Ni wazi kwamba Pakome form aliyo nayo Sasa ni zaidi ya Chama na ana nafasi ya kufanya zaid na zaid maana Chama umri unamuacha ila Bado ana safari ndefu kufikia class ya Chama kwenye ligi kuu na caf champions league
 
Mimi huwa sipendi mambo za comparison lakini kwakua mpira unachezwa na kila mtu anaona lazima watu wafanye comparison tu. Hakuna siku kuna mtu alisema Chama ni mbovu ni mchezaji mzuri wala msikasirike kufanyiwa comparison lakini tukija kwenye uhalisia kwa sasa Chama kwa Pacome na Aziz Ki bado sana ndugu. Chama hapati namba kwa hao watu ukubali ukatae. Hao jamaa viwango vyao havina mashaka wala havichagui games tofauti na Chama.
Hao wote ulio wataja wana viwango vya graph hawana consistency

Wanapanda siku moja wanakuja kushuka wiki mbili.

Huyo Azizi Ki hadi Nabi aliwahi kusema kuwa sio mchezaji wa kumaliza dakika 45

Kwenye mechi yenu na Monastir pia Nabi alisema Azizi Ki sio mchezaji tegemezi kwa Yanga ndio maana alikuwa anaanzia benchi.

Kwenye mechi yenu na Bamako, Nabi alisema Azizi Ki ameshuka sana kiwango na hawezi kumtumia sana kwenye mfumo wake.

Na ndio game hiyo hiyo ambayo hadi mchambuzi wa Azam TV alisema Azizi Ki kwenye mechi hii alikuwa kama msafiri tu ambaye hajui anaenda wapi.

Huyo Azizi Ki ndio unayetaka kumfananisha na GOAT wa Tanzania?

Chama ni top 8 kwa wafungaji bora wa Club Bingwa, huyo Pacome ana nini?

Azizi Ki kwenye michuano ya Afcon amefanya kitu gani special cha kukumbukwa?

Chama alitoa assist, huyo Azizi Ki alifanya nini?

Huyo Pacome ndio kwanza mpira alikuwa anauangalia kwenye runinga.

Mi naona Pacome afanananishwe na Chasambi at least tunaweza kuona kuna balance.
 
Kweli ushabiki unawapunguzia watu uwezo wa kufikiri. Unaweza kukuta jamaa hapa ni mkurugenzi kabisa wa Manispaa ya Lindi. Ahsante sijawa shabiki wa ajabu ajabu wa mpira kiasi hiki, pengine nami saa hz ningekuwa nimeshaongea ujinga mkubwa zaidi kuliko huu.
Ilikuwa ni ngumu sana kwa Utopolo yeyote kuisoma hiyo post bila kuumia kwasababu nimeandika ukweli.

Hata leo Hersi yuko tayari kufanya lolote ampate Chama, ikiwemo kumtimua Pacome na Azizi Ki kama sharti litakuwa hilo.
 
Back
Top Bottom