Hii ndio Kauli ya Kocha wa Simba baada ya ushindi wa 6 kwa Buyu

Aziz Ki msimu wake wa kwanza NBC ndio tunasema aliku na perfomance mbovu lakini ukilinganisha msimu wake uliopita ambao alikua MVP ligi aliyotoka alikua number nzuri huku. Cheki sasa hivi anavyokiwasha ndio top score.

Haya huyu Pacome naye katoka kule kama MVP cheki anavyokiwasha sasa hivi. Naxhotaka kusema ni kwamba hawa wachezaji hawahitaji misimu 7 kuonyesha viwango vyao kama ulivyosema hapo. Misimu mitatu inawatosha kuonyesha hawa watu si wa mchezo mchezo.
Huyo Pacome carrier yake ya mpira imeanza lini?
 
Ndugu hili lilikua tatizo la timu nzima. Kipinxi kile ilikua Yanga isipopata matokeo kipindi cha kwanza ilikua mtihani kutoboa kipindi cha pili. Kama ni mfuatiliaji nadhani utakumbuka vizuri.
Sio tatizo la timu ni mchezaji personal mpaka kocha anam-point yeye kama tatizo sio jambo dogo
 
Hakuna mchezaji ambae yeye yupo vizuri wakati wote halafu unapolinganisha wachezaji tumia takwimu siyo mahaba. Mwisho Pacome na Aziz K hawafai hata kulinganishwa na Chama sababu ndo wanaanza safari ya mafanikio ndani ya hii nchi, labda wajifunze kwake na kuboresha zaidi ili wavuke takwimu alizotengeneza.
Sasa kwenye takwimu si ndio nakupoteza kabisa huko.
 
Hii inatokea mara nyingi tu kwa wachezaji wengi hata Chama. Niambie Chama alikuaje kabla hajasimamishwa na sasa hivi? Inatokea siku moja moja game kumkataa mchezaji na sio kila siku
Nimekupa references za mechi zaidi ya moja tena ambazo zinafuatana

Hata tukisema tutumie vigezo vya namba bado Azizi Ki hawezi kumfikia Chama hata robo.

Kwa rekodi tu ni kuwa Azizi Ki ameisaidia timu kwenye mechi moja tu ya maamuzi kule Club Africain.

Moja tu.

Nitajie mechi nyingine ambayo Azizi Ki aliwahi kuiweka mechi mabegani na kuamua matokeo.
 
Pacome ameanza kucheza mpira akiwa Yanga? Wekeni hata takwimu zake huko alikotoka.

Weka hata na za Aziz tuone. Kama hawajawahi kushiriki CL huko walikotoka tujulishwe pia.

Kamuulize Hersi kuhusu chama, maana nyie ndiye mnaweza kumsikiliza na mkakubali
Shida yenu kubwa mnahisi tunamdharau Chama. Elewa hilo kwanza
 
Nimekupa references za mechi zaidi ya moja tena ambazo zinafuatana

Hata tukisema tutumie vigezo vya namba bado Azizi Ki hawezi kumfikia Chama hata robo.

Kwa rekodi tu ni kuwa Azizi Ki ameisaidia timu kwenye mechi moja tu ya maamuzi kule Club Africain.

Moja tu.

Nitajie mechi nyingine ambayo Azizi Ki aliwahi kuiweka mechi mabegani na kuamua matokeo.
Naomba hizo interview ambazo coach alisema hayo maneno direct kwa Aziz Ki.

Aziz Ki keshasimama game nyingi sana labda kwakua sio shabiki wa hizi Yanga labda kwa uchache match na Azam, Simba zaidi ya mara 2, match nyingi za ligi anagonga double double peke yake
 
Hivi game kubwa huwa mnamaanisha game zipi?
Chama alishawahi kutakata kwenye mechi nyingi sana hatua ya makundi klabu bingwa!Sasa najiuliza kama dhidi ya As vita,Al ahly, Wydad n.k ametoa mchango na kuwa anafanikisha timu inapata matokeo na kuendelea na hatua inayofata,nyinyi wenzetu mnazungumzia mechi kubwa zipi?Au game kubwa mnajua ni Simba sc vs Yanga peke yake?tofauti na hapo hamuoni game kubwa!Lakini hata nyinyi alishawahi kuwafunga,ni vile tu mnajitoa ufahamu na kueneza propaganda.
 
Mimi huwa sipendi mambo za comparison lakini kwakua mpira unachezwa na kila mtu anaona lazima watu wafanye comparison tu. Hakuna siku kuna mtu alisema Chama ni mbovu ni mchezaji mzuri wala msikasirike kufanyiwa comparison lakini tukija kwenye uhalisia kwa sasa Chama kwa Pacome na Aziz Ki bado sana ndugu. Chama hapati namba kwa hao watu ukubali ukatae. Hao jamaa viwango vyao havina mashaka wala havichagui games tofauti na Chama.
Toa data Chama anayo magoli zaidi ya 17 CAF Champions League haya toa data za wachezaji wako!!!
 
Katika hayo magoli, taja idadi ya magoli aliyofunga akicheza na timu kubwa au akicheza away. Chama anawika akicheza na timu ndogo na pia akiwa kwa Mkapa ila huwezi kukuta akitamba kwa timu kubwa au nje ya uwanja wa Mkapa hata siku moja na huu ndio ukweli
Wewe timu yako kuingia hatua kama hii tangu mwaka 1998 ingekua zinaingia timu ndogo na ww si ungekuepo hatua ha makundi??
 
Punguzeni utoto.

Chama ni kipimo cha kila mchezaji anayekuja bongo km kiungo mshambuliaji.
Screenshot_20240303-152249.jpg
 
Naomba hizo interview ambazo coach alisema hayo maneno direct kwa Aziz Ki.

Aziz Ki keshasimama game nyingi sana labda kwakua sio shabiki wa hizi Yanga labda kwa uchache match na Azam, Simba zaidi ya mara 2, match nyingi za ligi anagonga double double peke yake
Hizo interviews kuzipata sio rahisi kulingana na heading zilivyowekwa hazi match na maongezi aliyosema.

Ila kama ungekuwa unafuatilia nyuzi za live updates hicho kitu ungekuwa umekiona maana tumekizungumza sana hata Gongowazi mwenzako ukikaidi utapigwa2 anajua.

Ni wewe tu ambaye hiyo ilikupita
 
Benchikha hamkubali chama lakin Kwa Simba pale inambid alazimike kumkubali maana Kwa Simba Chama ni Bora kuliko wengine.

Benchikha alishamkataa Chama pale Berkane
 
Chama ni GOAT hawezi kushindanishwa na upcoming player

Kwenye viunga vya CAF Champion league Chama ni icon ambayo inaishi miaka mingi.

Pacome ni upcoming lazima tumuweke kwenye mzani na Chasambi ambaye ni upcoming mwenzake.
Akizimia nistue nimlandike kibao aamke.
 
Back
Top Bottom