Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Naomba anayejihisi yupo huru aje hapa mzarendo kwa juu ofa ya bia 4 pls
Ningepita hapo lakini nawahi migombani gongo la mama khanga moja nasikia leo ni super.
Naomba anayejihisi yupo huru aje hapa mzarendo kwa juu ofa ya bia 4 pls
Du kweli umelonga mkuuMkuu hao ni watu wawili tofauti ila itikadi zao zinafanana. Dar es Salaam ni msomi mzuri anajua jenga hoja na kutetea. Malaria Sugu ni elimu ile ya ahera tu. Ukisoma maandishi yake ni kama anaandika kiarabu. Ukitaka mkomesha yule mjibu post zake kidhungu. Huwa anasepa na malapa yake.
Asante ziwe Safari PLS!Naomba anayejihisi yupo huru aje hapa mzarendo kwa juu ofa ya bia 4 pls
Mkuu hao ni watu wawili tofauti ila itikadi zao zinafanana. Dar es Salaam ni msomi mzuri anajua jenga hoja na kutetea. Malaria Sugu ni elimu ile ya ahera tu. Ukisoma maandishi yake ni kama anaandika kiarabu. Ukitaka mkomesha yule mjibu post zake kidhungu. Huwa anasepa na malapa yake.
Kama Malaria Sugu kalamba ban ni poa sana maana tumelalamika sana kuhusu yeye na udini wake.
Vile vile msisahau kuwa Malaria Sugu huja kwa jina lingine ambalo ni Dar es Salaam.Kwa hiyo akija kwa jina la Malaria Sugu au Dar es Salaam ni kumripoti kumpa kubwa tu za uso akafie mbele
Kwa nini hujasema atukanwe kabisa tena matusi ya nguoni? teh teh teh teh teh tehMalaria sugu mara chache sana huchangia threads zilizoanzishwa na wengine rather yeye hupenda kuanzisha threads zake ambazo huwa zinaamsha hisia za wengi hivyo kujibiwa sana. probably wanaomjibu majority watakuwa ni wakristo. huwa standby ku-respond propmtly maana anajua fika amepiga mzinga wa nyuki. Threads zake nyingi huwa za kidini zenye mwelekeo wa kuonyesha kukandamizwa kwa waislam na/au kupendelewa kwa wakristo. Nimefikiri sana juu ya hili yaani what could be his motives behind posting his threads here in JF na kupata idea ifuatayo. Kwamba atakuwa anawa-provoke wakristo ili kukusanya views zao kwa matumizi anayoyajua yeye au kwa maslahi ya kikundi fulani kinachomtuma kwa maslahi yao. so nashauri, wanaokuwa provoked na threads wampuuzie. nahisi anapata faida sana kwa reply zenu....apuuuzwe au apewe majibu ya kipuuzi.
nawasilisha!!!
Kama Malaria Sugu kalamba ban ni poa sana maana tumelalamika sana kuhusu yeye na udini wake.
Vile vile msisahau kuwa Malaria Sugu huja kwa jina lingine ambalo ni Dar es Salaam.Kwa hiyo akija kwa jina la Malaria Sugu au Dar es Salaam ni kumripoti kumpa kubwa tu za uso akafie mbele
wewe ndio msemaji wao!? Fikra mgando hizo!malaria sugu mara chache sana huchangia threads zilizoanzishwa na wengine rather yeye hupenda kuanzisha threads zake ambazo huwa zinaamsha hisia za wengi hivyo kujibiwa sana. Probably wanaomjibu majority watakuwa ni wakristo. Huwa standby ku-respond propmtly maana anajua fika amepiga mzinga wa nyuki. Threads zake nyingi huwa za kidini zenye mwelekeo wa kuonyesha kukandamizwa kwa waislam na/au kupendelewa kwa wakristo. Nimefikiri sana juu ya hili yaani what could be his motives behind posting his threads here in jf na kupata idea ifuatayo. Kwamba atakuwa anawa-provoke wakristo ili kukusanya views zao kwa matumizi anayoyajua yeye au kwa maslahi ya kikundi fulani kinachomtuma kwa maslahi yao. So nashauri, wanaokuwa provoked na threads wampuuzie. Nahisi anapata faida sana kwa reply zenu....apuuuzwe au apewe majibu ya kipuuzi.
Nawasilisha!!!
wanalianzisha wenyewe.......................wakipata dozi, wanapagawa!!hivi hujaona posts zinazowa-provoke na waislam? Au hizo kwako ni sahali?
Malaria sugu mara chache sana huchangia threads zilizoanzishwa na wengine rather yeye hupenda kuanzisha threads zake ambazo huwa zinaamsha hisia za wengi hivyo kujibiwa sana. probably wanaomjibu majority watakuwa ni wakristo. huwa standby ku-respond propmtly maana anajua fika amepiga mzinga wa nyuki. Threads zake nyingi huwa za kidini zenye mwelekeo wa kuonyesha kukandamizwa kwa waislam na/au kupendelewa kwa wakristo. Nimefikiri sana juu ya hili yaani what could be his motives behind posting his threads here in JF na kupata idea ifuatayo. Kwamba atakuwa anawa-provoke wakristo ili kukusanya views zao kwa matumizi anayoyajua yeye au kwa maslahi ya kikundi fulani kinachomtuma kwa maslahi yao. so nashauri, wanaokuwa provoked na threads wampuuzie. nahisi anapata faida sana kwa reply zenu....apuuuzwe au apewe majibu ya kipuuzi.
nawasilisha!!!
Tatizo la MS ni kuwa si CHADEMA basi! Watu kama Rev. wanapakatia udini na kejeli nao hawasemwi eti ni "wenzetu"Ni habari nzuri sana kama MS wamem ban! Nimepost thread moja ya kuomba watu kama hawa wafungiwe kabisa wasitake kutuchanganya!
Tatizo la MS ni kuwa si CHADEMA basi! Watu kama Rev. wanapakatia udini na kejeli nao hawasemwi eti ni "wenzetu"
kuna watu humu bila malaria sugu wana washwa......
Jamaa alikuwa anaturusha roho tu. Hakuwepo wala nini. Nilichangamkia deal nikakuta ola!!Asante ziwe Safari PLS!
Jamaa alikuwa anaturusha roho tu. Hakuwepo wala nini. Nilichangamkia deal nikakuta ola!!Asante ziwe Safari PLS!
Bora aende kwa mjengwa blog au Michuzi