Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Wanajamvi: Baada ya kufikiri sana thread anazotoa Malaria Sugu na aliases zingine za ID zake humu JF, nimegundua kwamba thread hizo zina mwelekeo mmoja tu ati-Chadema, anti-Slaa, anti-Christian etc.
Sijamsoma ndugu yetu huyu kuandika thread kuhusu habari nyingine. Hivyo basi namuomba asihangaike sana kufikiria thread zijazo kwani anaweza kuwa anachukuwa moja katika hizi nilizoweka hapa chini kila mara anapotaka kuweka thread.
Mie nadhani nimemtendea haki katika vichwa vya habari vya thread hizo maana ndivyo haswa anavyovipenda:
1. Ninavyoamini, Dr Slaa bado ni padri kisirisiri
2. Kwa nini Chadema bado wana ndoto ya kushika nchi?
3. Udini uliwaangamiza Chadema uchaguzi 2010
4. Jamani Lissu siyo mtoto wa padri?
5. Makanisa na Chadema ndiyo watasababisha janga nchini
6. Rasimu ya MoU ya 1992 iliandaliwa na Dr Slaa akiwa bado padri
7. Zitto akipona ataachana kabisa na Chadema
8. Ukiingia mwaka 2012 wimbi la wafuasi wa Chadema watakikimbia chama
9. Sioni namna Dr Slaa atakwepa kumfika yaliyomfika Mrema
10. Viashirio vyaonyesha asilimia 80 ya Wabunge wa chadema watapoteza ubunge kabla ya 2015
11 .
12 ..
Mnaweza kusaidia kuongeza hiyo orodha.
Sijamsoma ndugu yetu huyu kuandika thread kuhusu habari nyingine. Hivyo basi namuomba asihangaike sana kufikiria thread zijazo kwani anaweza kuwa anachukuwa moja katika hizi nilizoweka hapa chini kila mara anapotaka kuweka thread.
Mie nadhani nimemtendea haki katika vichwa vya habari vya thread hizo maana ndivyo haswa anavyovipenda:
1. Ninavyoamini, Dr Slaa bado ni padri kisirisiri
2. Kwa nini Chadema bado wana ndoto ya kushika nchi?
3. Udini uliwaangamiza Chadema uchaguzi 2010
4. Jamani Lissu siyo mtoto wa padri?
5. Makanisa na Chadema ndiyo watasababisha janga nchini
6. Rasimu ya MoU ya 1992 iliandaliwa na Dr Slaa akiwa bado padri
7. Zitto akipona ataachana kabisa na Chadema
8. Ukiingia mwaka 2012 wimbi la wafuasi wa Chadema watakikimbia chama
9. Sioni namna Dr Slaa atakwepa kumfika yaliyomfika Mrema
10. Viashirio vyaonyesha asilimia 80 ya Wabunge wa chadema watapoteza ubunge kabla ya 2015
11 .
12 ..
Mnaweza kusaidia kuongeza hiyo orodha.