MMh, Butimba TTC ilikuwa na high school? Hakikuwa chuo cha ualimu kile??
Anyway, hata uwe na Phd kama hamnazo za maisha hazimo tu.
hapa mi sijaelewa Butimba ttc masomo ya advanced vp........au kilikuwa kituo tu cha mtihani kama private candidate......waka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
MMh, Butimba TTC ilikuwa na high school? Hakikuwa chuo cha ualimu kile??
Anyway, hata uwe na Phd kama hamnazo za maisha hazimo tu.
senkyu vere mache-Anne Makinda
mkuu kweli hii ni changa la macho,butimba TTC hakujawai kuwa na high school,Labda kama kuliwahi kuwa na centre ya PCMMh, Butimba TTC ilikuwa na high school? Hakikuwa chuo cha ualimu kile??
Anyway, hata uwe na Phd kama hamnazo za maisha hazimo tu.
sasa sijui huyu naye vipi? sijui utoto ama ndo hizi zero za dr.kawambwa na mulugo!!Civic inamhusu nini? Anaiujua na kuielewa katiba ya CCM na ilani za uchaguzi za CCM kwetu inatosha sana na anatekeleza majukumu yake ipasavyo mna lazaidi????????????????????
Matokeo ya Nape Nnauye ya Ordinary level secondary education ni Division TWO..,kwa anayetaka kujiridhisha anaweza ku-google mwenyewe NECTA matokeo ya Nsumba Secondary 1997. na hata kwa matokeo mengine pia ambayo Ni ya ndani ya Nchi na kuhusu matokeo ya chuo cha bangalore nayo yapo TCU.,ni jambo la kuuliza na kujibiwa.
Kama unamfahamu waziri huyo asiekuwa na wizara kwa sura wala huulizi mara mbili ukizingatia waziri huyo kabebwa na kikwete huku kijana wake (Nape) kabebwa na kikwete....akijibu hoja ya mwampamba mke wa slaa anasema nape ni mtoto wa mwandosya ya kweli haya jamani
Mbona limekuwasha hivyo wewe mkewe anyway mwambie mmeo apunguzi mkorogo...Civic inamhusu nini? Anaiujua na kuielewa katiba ya CCM na ilani za uchaguzi za CCM kwetu inatosha sana na anatekeleza majukumu yake ipasavyo mna lazaidi????????????????????
Kaandikiwa na prof Maji Marefu.....hii ni cv au maelezo?!